Wanaume kumi wanaongoza kwa utajiri JF

Ontario boya tu musipagawe na forex trading... zile ni nakala tu....

Njaa kama mim tu...

Sent from "La -Vista"
Hahahaah inabidi nicheke tu
Yaani daby kwenye list ya matajiri JF yupo, wanaopendwa na wanawake JF yupo, mwenye mvuto na ki smart yupo!!! Acheni u.s.e.n.g.e, nimewavumilieni vya kutosha. Mnapaishana tu!!! Heh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kesho utasikia list ya member wenye mishwambandigo mkubwa [emoji41]

Mara list ya wenye miguu mrefu [emoji41].

Sio mbaya ! This is jf with World Guiness book of Records
Mi nmetokea kwenye list ya watu wenye majina mabaya nashangaa hamna wenye majina mazuri na leo wamekuja na list ya matajiri nasubiri list ya watu wasio na mvuto hapa jf
 
ameondoka leo..ila nilimsamehe nikapa pesa yake na ya ziada pia.... kwa kile kitendo nisingeweza endelea kukaa naye.... next time si angenilewesha then adumbukize kabisa.......

Mkuu tayari umemrudisha kwao au roho ya huruma huruma imekupiga kabali.
 
GuDume kwenye ubora wako kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…