Wanaume kumi wanaongoza kwa utajiri JF

Wanaume kumi wanaongoza kwa utajiri JF

mkuu mimi sijui kwa hao wengine ila nahisi kama nlistahili kuwa namba moja maana ...mpaka kuna watu wananishangaa kwa matumizi yangu ya pesa ambazo mi naona ni kidogo tu, naishi peke yangu na nina msichana wa kazi ambaye namlipa tsh 240,000 kwa mwezi kwa maisha ya kibongo sijui kama kuna anayenifikia hapo kati ya hao uliowataja. huyu namlipa hiyo pesa analala kwangu,anakula kwangu na matibabu anapata kwangu.

na utajiri wangu mimi si wa msimu au wa madawa yoyote yale. mimi pesa ninazo yaani hapa ndo kwake. siku nmewaambia wadau kuwa nina TV ya nchi 52 wakashangaa sasa nikaamua kuua kabisa nmenunua TV ya nch 68 nawaalika watu waje watizame mechi za EPL.... nimesikitika sana kuniweka namba 10 wakati huku kwangu ndo pesa zinakoanzia kabla ya kwenda kwenye mzunguko.

anyway hamna noma lakini .... ntawaonesha nina nini na nafanya nini. nlitoa mwaliko kwa watu walio tayari siku ya kesho nataka nichome nyama ya mbuzi ila nataka kujua idadi ya wahusika nijue ni wangapi watakuja kupata nyama choma na vinywaji mkabala wa nyama choma.
Hahahaha count me in, [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mganga wa kienyej mshana....

Sent from "La -Vista"
Na mla bata namba moko JF
ff4a3d42589f6cb9c5726eac52e7fa1c.jpg
tumia pesa ikuzoeee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kweli tena akiwekwa namba 1 siwez kukataa
Jipigie debe tu.... ni we mwenyewe... jina lingine ili...

Sema mi nawajua ninyi... unataka akae no. Moja kwa evidence zipi.....

Acha mawenge.... hujui kama akina lowasa sumaye dewji pia ni member humu ndani.....??

Sent from "La -Vista"
 
Back
Top Bottom