Wanaume kuna sababu zipi zinakufanya upende kahaba kuliko kuwa na mke wa ndoa?

Afanyae ngono na kahaba hana akili kabisa ajiangamiza nafsi yake.
Ila sasa mbona hawa ambao sio kahaba ndio wanatufilisi sie wanaume?

Yaani demu anataka iphone mara sijui bby leo nataka kula pizza mwee gharama sana.
Bora kahaba unapiga ,ako bao mbili inatosha unasepa zako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…