Mkuu hata majiko ya kiulaya hamna haja ya kupindua mambo. Mie wife yuko very happy kupika hasa ninapokua nyumbani. Nikijitia kimbelembele naweza kuwa naharibu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hata majiko ya kiulaya hamna haja ya kupindua mambo. Mie wife yuko very happy kupika hasa ninapokua nyumbani. Nikijitia kimbelembele naweza kuwa naharibu.
Mkuu Bala inamaana siku hiyo wewe ukiiingia jikoni... ni mwanzo mwisho mpaka kiive wengine wanakua hawapo jikoni?Hausaidii,bali mnasaidiana(that's what i said)..Ni sawa na kusaidiana katika matumizi ya home,kusaidiana kufua nguo...Nk...Ndo maana nikasema mimi(maana ishajengeka,hasa Tanzania na Afrika kwamba wababa wao hupikiwa tu ama na mke ama na house maid) so narudia tena mimi mara nyingi weekend huandaa chakula twala mimi,mke wangu na mtoto wetu pia na msaidizi wetu wa kazi za nyumbani...So si vibaya kusaidiana kupika bana(narudia tena kusaidiana kwa maana ya kwamba kila mtu ana wajibu ya kupika,simaanishi kufuata ratiba hapa)
Du! Wacha nikachukue kozi ya upishi!🙄
Mkuu Bala inamaana siku hiyo wewe ukiiingia jikoni... ni mwanzo mwisho mpaka kiive wengine wanakua hawapo jikoni?
Msiposaidiwa shida, mkisaidiwa shida na mnatuona washamba na labda tumeshalambishwa limbwata! sijui tukimbilie kambi gani! Labda njemba hapendi ugali unaopikwa na mkewe.....just thinking aloud 🙂
Mkuu Bala inamaana siku hiyo wewe ukiiingia jikoni... ni mwanzo mwisho mpaka kiive wengine wanakua hawapo jikoni?
hahaha lakini nyie mbona mnatotafisiri kivingine..
maisha ni kusaidiana hata kukata nyanya kuosha mchicha ...ni mambo ya kusaidiana tu hayo
Hawana jema! Ukirudi mapema nyumbani shida, ukipita baa shida, ukimdekeza mwanamke kupita kiasi anakuita zoba, ukiwa mkali anasema you don't care!
Yaani wanawake ni jipu la kwapa aisee!!!![]()
Sawa nimekusoma.............mnasaidiana
tofauti hapa ni kewamba mimi nina passion ya kupika vitu flani flani....for the family na ndo maana kuna wakati nikisema nitapika, ninaulizwa utapika nini? kama unapika nanihiii.(sikisemi hapa) niwashtue na wakina flani waje kushinda huku leo?
(mkuu, 90% ya wakina dada wanaofanya kazi ziwe za kuajiriwa au kujiajiri ambazo zipo tight.........hawaingii jikoni kabisa, wasichana wa kazi ndo wanapika, sasa wewe ukisema mnasaidiana, unakuwa unasaidiana na msichana wa kazi au?)
ukinyanyua mkono linauma, ukishusha ndo kabisaaaaa
hivi huyo mwanamke wa hivo kweli yupo Masaki?
Rejea kwenye mada hapo juu. Kuna mwanamke kamcheka huyo mwanaume waliyemkuta anamsaidia mkewe kupika ugali. Unatemea nini kutoka kwa mwanamke kama huyo kama siyo maumivu ya jipu la kwapa?
mambo mengine huwa nahisi ya kusadikika zaidi..........
bht mie nimeweka na ratiba jtatu mpaka Jpili msije kunimeza jamani tunasaidiana tuyaani wengine wanalifanya suala la kupika jukumu la mwanamke tu....
starehe ya maisha kusaidiana bana
bht mie nimeweka na ratiba jtatu mpaka Jpili msije kunimeza jamani tunasaidiana tu
Kama yepi? Mwanaume kupika ugali wakati mkewe anasoma gazeti sebuleni au?
hapana, hayo ya mke kumwona mume zoba kwa kuwa anamsaidia shughuli za nyumbani.....