Wanaume kuwa na ngozi nyororo kama mwanamke

Wanaume kuwa na ngozi nyororo kama mwanamke

kritika

JF-Expert Member
Joined
Apr 18, 2018
Posts
410
Reaction score
1,156
unakutana na kimwanaume legevu hata akikupa mkono unahisi umepewa mkono na mwanamke mwenzio.

Mwanaume unakuwa na ngozi kama ya esha buheti huoni hata aibu kuwa laini laini kiivyo,mwanaume hutaki kuchafuka mda wote umevaa vipensi na vindala vya manyoanyoa na kukaa tu vibarazani pumbavuu
Wanaume kwisha habari yenu[emoji23] [emoji23] [emoji23] nalishangaa toto la kiume jirani hapa limegairisha kwenda kwenye mishe mishe zake eti kwa sababu njia inamatope[emoji23] [emoji23] [emoji23] wanaume Muombeni sana Mungu awaonyeshe njia iliyonyoofu

Kabla hujatoa povu mwangalieni mwenzenu LAVA LAVA alivyo legea kama tembele ndio mbishe niyasemayo

Kubali kukosolewa ili ubadilike
 
Kama kawaida yako miss "GENERALIZATION"
1. Mimi ni mmoja wa watu wenye ngozi laini unayoisema na toka nimezaliwa iko hivyo labda nianze kumkosoa MUNGU katika uumbaji wake kwamba kwa nini nina ngozi laini badala ya ngumu kama magome ya miti.
2.Siku hizi dunia imeadilika ndugu. Wanawake mnapenda urembo, wanaume nao tunajipenda full utanashati kutumza ngozi ni suala mtambuka kwa kila mmoja wetu.
3.Nature ya kazi.Binadamu tunatofautiana kazi tunazozifanya.Wengine masaa mengi tupo ndani ya ofisi zenye viyoyozi hatupigwi na jua ngozi zetu lazima ziwe katika hali ya ulain sababu hatupati suluba.Hilo pia ni vizuri ukalijua maana huwezi ukategemea wanaume wote wawe kama unavyofikiri wewe.
Kila mtu ameumbwa kwa namna ya kipekee na Mwenyezi Mungu na huwezi ukakosoa wakati mwenyewe Mungu kakuumba kwa namna yako na kasoro zako.
 
Hana jipya huyo ana frustrations tu, kaingia humu hata week hana lakini minyuzi kibao yakuponda wanaume.

Inawezekana hata sio mwanamke bali ni shoga.
Hahaaa. Itakuwa ndio njia aliyoichagua Mkuu kaamua kutoka kivyake vyake.

Saa nyingine najiwazia ka wewe ujue sababu Me na Ke tusemane ila iwe kwa kiasi na sio ile hadi inakuwa kero , kwani imefikia hatua hata kama akisemacho kinaukweli watu wanakipuuza na kukiona hakina msingi.

Ila mvumilie Mkuu.
 
Hahaaa. Itakuwa ndio njia aliyoichagua Mkuu kaamua kutoka kivyake vyake.

Saa nyingine najiwazia ka wewe ujue sababu Me na Ke tusemane ila iwe kwa kiasi na sio ile hadi inakuwa kero , kwani imefikia hatua hata kama akisemacho kinaukweli watu wanakipuuza na kukiona hakina msingi.

Ila mvumilie Mkuu.
Yani hapa ana paint picha ya uhalisia wake. Kuwa ni mtu fulani mwenye mastress na hatred na amekuwa preoccupied na jinsia ya kiume kiasi kwamba mda wote anatafuta sababu zisizo na mantiki ilimradi tu aponde wanaume.
 
Yani hapa ana paint picha ya uhalisia wake. Kuwa ni mtu fulani mwenye mastress na hatred na amekuwa preoccupied na jinsia ya kiume kiasi kwamba mda wote anatafuta sababu zisizo na mantiki ilimradi tu aponde wanaume.
Hahahaaa. Kwa vichambo hivi ambavyo huwa anapatiwa nina imani kama ni stress kwa wanaume haziwezi isha aiseee.

Kwanza ndio zinazidi.
 
Back
Top Bottom