Smart Guy
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,808
- 6,934
Nilijua tyu ni wale wale sema sikuwa na uhakika 100%.Jana nilikuwa nakatiza mitaa flani hivi ya tabata,daslaam..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilijua tyu ni wale wale sema sikuwa na uhakika 100%.Jana nilikuwa nakatiza mitaa flani hivi ya tabata,daslaam..
Safi sana mkuu.View attachment 783033
Najivunia ngozi yangu niliyopewa na Mwenyezi Mungu maana yeye ndio aliyeniumba na ndie anayeyajua mapungufu yangu.Hakuna binadamu mwenye jeuri ya kunikosoa maana wote tumeumbwa na Mungu.
haaaaaa haaaaaa sio wote mkuu..Mimi ni mwanaume wa daslaam lakini sinaga mambo ya ajabu ajabu!kuna watu wanatuharibia tunaonekana wanaume wa dar wooote ovyo...Nilijua tyu ni wale wale sema sikuwa na uhakika 100%.
Wewe jamaa ni msukuma ee?View attachment 783033
Najivunia ngozi yangu niliyopewa na Mwenyezi Mungu maana yeye ndio aliyeniumba na ndie anayeyajua mapungufu yangu.Hakuna binadamu mwenye jeuri ya kunikosoa maana wote tumeumbwa na Mungu.
Kila mwanamke ana hitaji lake binafsiSijui wanawake ni kitu gani hasa wanachokitaka...
Kwangu mimi bado nitaendelea kushauri kwamba
1. Kritika ana tatizo kubwa la kisaikolojia lakini mwenyewe anajiona yupo sawa.
2.Anahitaji msaada wa kitabibu.Naweza kumconnect kwa Dismass Lyassa asaidiwe
3.Na kwa nyinyi wadada wenzie msidhanie kumsifia mwenzenu ndo ujiko,mnatakiwa mumsaidie mwenzenu kwa hali na mali na sio kukaa kufurahia kumuona akipotea njia.Anatakiwa asaidiwe.Ndio maana wakati mwingine ule msemo wa wanawake kutokupendana nauona kama una mashiko.
Mimi sio msukuma chief mimi ni MSAMBAA pureWewe jamaa ni msukuma ee?
nimeona kuna ukweli ndani yake mkuuNdugu yangu laiti ungekuwa shushushuu nadhan usipata mida wa kupoteza kuwajibu baadhi ya watu.
ivi unajua jr single mom ni wengi zaidi ya ujuavo?
ivi unajua lakin hahaha ngoja niishie hapo tu.
mkuu usisumbuke na neno
Non sense!unakutana na kimwanaume legevu hata akikupa mkono unahisi umepewa mkono na mwanamke mwenzio.
Mwanaume unakuwa na ngozi kama ya esha buheti huoni hata aibu kuwa laini laini kiivyo,mwanaume hutaki kuchafuka mda wote umevaa vipensi na vindala vya manyoanyoa na kukaa tu vibarazani pumbavuu
Wanaume kwisha habari yenu[emoji23] [emoji23] [emoji23] nalishangaa toto la kiume jirani hapa limegairisha kwenda kwenye mishe mishe zake eti kwa sababu njia inamatope[emoji23] [emoji23] [emoji23] wanaume Muombeni sana Mungu awaonyeshe njia iliyonyoofu
Kabla hujatoa povu mwangalieni mwenzenu LAVA LAVA alivyo legea kama tembele ndio mbishe niyasemayo
Kubali kukosolewa ili ubadilike
Sawa bwasheee.Mimi sio msukuma chief mimi ni MSAMBAA pure
sawa. najivunia nilivyo na ngozi yanguSawa bwasheee.
Tumeoa kwenu
Wakina nani?Ngoja waje
unakutana na kimwanaume legevu hata akikupa mkono unahisi umepewa mkono na mwanamke mwenzio.
Mwanaume unakuwa na ngozi kama ya esha buheti huoni hata aibu kuwa laini laini kiivyo,mwanaume hutaki kuchafuka mda wote umevaa vipensi na vindala vya manyoanyoa na kukaa tu vibarazani pumbavuu
Wanaume kwisha habari yenu[emoji23] [emoji23] [emoji23] nalishangaa toto la kiume jirani hapa limegairisha kwenda kwenye mishe mishe zake eti kwa sababu njia inamatope[emoji23] [emoji23] [emoji23] wanaume Muombeni sana Mungu awaonyeshe njia iliyonyoofu
Kabla hujatoa povu mwangalieni mwenzenu LAVA LAVA alivyo legea kama tembele ndio mbishe niyasemayo
Kubali kukosolewa ili ubadilike