Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
NiacheeeeeeeeeKhaaaaaa kilichokuwa kinakutesa sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NiacheeeeeeeeeKhaaaaaa kilichokuwa kinakutesa sasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mbona hapo rahisi tu unajiumiza kichwa tuNiacheeeeeeeee
Ha haaa mwenyewe hana hata wazo. Namuadmire tu si zaidi. Sitaki kufika mbali maana ni hatarious![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mbona hapo rahisi tu unajiumiza kichwa tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ya nn kufa na tai shingoniHa haaa mwenyewe hana hata wazo. Namuadmire tu si zaidi. Sitaki kufika mbali maana ni hatarious!
duh....we ni kamwanaumeKama kawaida yako miss "GENERALIZATION"
1. Mimi ni mmoja wa watu wenye ngozi laini unayoisema na toka nimezaliwa iko hivyo labda nianze kumkosoa MUNGU katika uumbaji wake kwamba kwa nini nina ngozi laini badala ya ngumu kama magome ya miti.
2.Siku hizi dunia imeadilika ndugu. Wanawake mnapenda urembo, wanaume nao tunajipenda full utanashati kutumza ngozi ni suala mtambuka kwa kila mmoja wetu.
3.Nature ya kazi.Binadamu tunatofautiana kazi tunazozifanya.Wengine masaa mengi tupo ndani ya ofisi zenye viyoyozi hatupigwi na jua ngozi zetu lazima ziwe katika hali ya ulain sababu hatupati suluba.Hilo pia ni vizuri ukalijua maana huwezi ukategemea wanaume wote wawe kama unavyofikiri wewe.
Kila mtu ameumbwa kwa namna ya kipekee na Mwenyezi Mungu na huwezi ukakosoa wakati mwenyewe Mungu kakuumba kwa namna yako na kasoro zako.
[emoji15][emoji15][emoji15] nani huyo alikua anateswa dada?Khaaaaaa kilichokuwa kinakutesa sasa
kuku mgeni hakosi .............................................unakutana na kimwanaume legevu hata akikupa mkono unahisi umepewa mkono na mwanamke mwenzio.
Mwanaume unakuwa na ngozi kama ya esha buheti huoni hata aibu kuwa laini laini kiivyo,mwanaume hutaki kuchafuka mda wote umevaa vipensi na vindala vya manyoanyoa na kukaa tu vibarazani pumbavuu
Wanaume kwisha habari yenu[emoji23] [emoji23] [emoji23] nalishangaa toto la kiume jirani hapa limegairisha kwenda kwenye mishe mishe zake eti kwa sababu njia inamatope[emoji23] [emoji23] [emoji23] wanaume Muombeni sana Mungu awaonyeshe njia iliyonyoofu
Kabla hujatoa povu mwangalieni mwenzenu LAVA LAVA alivyo legea kama tembele ndio mbishe niyasemayo
Kubali kukosolewa ili ubadilike
Heshima yako kaka angu[emoji15][emoji15][emoji15] nani huyo alikua anateswa dada?
Asante dada, habari yako leo?Heshima yako kaka angu
Sure. Mbaya zaidi mhusika nae hajui anachokitaka.That's the assignment both men and women failed to tackle.
it's really complicated my friend
cc Smart911
Ndugu yangu mpendwa Mzima wewe ???Hivi ndizi na mapapai aliyonunua Magu hayakubakia apewe huyu mwanamke?
That's a spirit.View attachment 783033
Najivunia ngozi yangu niliyopewa na Mwenyezi Mungu maana yeye ndio aliyeniumba na ndie anayeyajua mapungufu yangu.Hakuna binadamu mwenye jeuri ya kunikosoa maana wote tumeumbwa na Mungu.
Mkuu hayo ni masimango...kama wewe umekulia kwenye maisha magumu hata mafuta ya kupaka hamna, usidhani ndio uanaume kuwa na ngozi ngumu kama koboko...uanaume ni kuhudumia na kuwa na pochi nene na kujiamini...mambo ya ngozi ni upeo mdogo wa kufikiri.unakutana na kimwanaume legevu hata akikupa mkono unahisi umepewa mkono na mwanamke mwenzio.
Mwanaume unakuwa na ngozi kama ya esha buheti huoni hata aibu kuwa laini laini kiivyo,mwanaume hutaki kuchafuka mda wote umevaa vipensi na vindala vya manyoanyoa na kukaa tu vibarazani pumbavuu
Wanaume kwisha habari yenu[emoji23] [emoji23] [emoji23] nalishangaa toto la kiume jirani hapa limegairisha kwenda kwenye mishe mishe zake eti kwa sababu njia inamatope[emoji23] [emoji23] [emoji23] wanaume Muombeni sana Mungu awaonyeshe njia iliyonyoofu
Kabla hujatoa povu mwangalieni mwenzenu LAVA LAVA alivyo legea kama tembele ndio mbishe niyasemayo
Kubali kukosolewa ili ubadilike
Hi to you too, mkuu. Mungu wetu wa ajabu. Hata mimi nipo hai!Ndugu yangu mpendwa Mzima wewe ???
Nakusalimu bwanaaa..
Ubarikiwe sana ndugu yangu, sisi tupo!Hi to you too, mkuu. Mungu wetu wa ajabu. Hata mimi nipo hai!