Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Nipo hapa na ngozi(mwili) wangu laini kabisa naturally.Wakija usisahau kuniita
Nalima kwa masaa 5.
Natembea kwa miguu zaidi ya km 30.
Huo ni mfano mdogo tu na hii ngozi yangu laini na nyororo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo hapa na ngozi(mwili) wangu laini kabisa naturally.Wakija usisahau kuniita
Kukaa kuchukia wanaume haitokaa ikamsaidiaHahahaaa. Kwa vichambo hivi ambavyo huwa anapatiwa nina imani kama ni stress kwa wanaume haziwezi isha aiseee.
Kwanza ndio zinazidi.
Hahaaa. Sidhani kama analijua hilo Mkuu.Kukaa kuchukia wanaume haitokaa ikamsaidia
Hivyo Mkuu kwa mbaali huu uzi una kaukweli?Dah,nimecheka sana hapo kwenye mwanaume ameshidwa kutoka Kisa matope.
Nimefkilia maybe labda tulikuwa wote tunamsema jamaa yangu hivi,kagoma kuja job Kisa kunatope..
Hongera sanaNipo hapa na ngozi(mwili) wangu laini kabisa naturally.
Nalima kwa masaa 5.
Natembea kwa miguu zaidi ya km 30.
Huo ni mfano mdogo tu na hii ngozi yangu laini na nyororo
Hapa hakuna laiyepanik ila kwa threads zake ukisoma utaona huyu mtu hayupo sawa,yaani wewe kila siku unakereka tu hakuna siku ambayo umefurahi?Hahaaa. Sidhani kama analijua hilo Mkuu.
Pia upande wa pili tusimhukumu kwani huenda ikawa hana anachomaanisha zaidi ya kuwatia hasira nyie Me tu Mkuu.
Yaani mkipanic kwake ndio Burudani.
Ahsante.Hongera sana
Hahaaaa. Sisemei hapa Mkuu nasemea kwenye nyuzi zake karibia zote mfano hai ni ule uzi wake wa wanaume kukimbilia lift kama unakumbuka alichambwa sana na wanaume wa humu.Hapa hakuna laiyepanik ila kwa threads zake ukisoma utaona huyu mtu hayupo sawa,yaani wewe kila siku unakereka tu hakuna siku ambayo umefurahi?
Kwa mbali,ila hiyo mikono kuwa milaini hiyo si kitu,au sijui uvaaji wa pensi hayo mambo ya kawaida...Hivyo Mkuu kwa mbaali huu uzi una kaukweli?
Kwa mbali,ila hiyo mikono kuwa milaini hiyo si kitu,au sijui uvaaji wa pensi hayo mambo ya kawaida...
So you guys mnapenda mwanaume ambaye anamikono mikavu migumu,haijapakwa mafuta??
Huyu ana tatizo kubwa na anahitaji msaada,mnapomsifia wasichana hamumsaidii kituHahaaaa. Sisemei hapa Mkuu nasemea kwenye nyuzi zake karibia zote mfano hai ni ule uzi wake wa wanaume kukimbilia lift kama unakumbuka alichambwa sana na wanaume wa humu.
Ila mpeni muda Mkuu huenda akaja na nyuzi zitakazowasuuza huko mbeleni.
Anaishi mkoa gn huyo?.kuna lijamaa jana nimeliona linasuguliwa kucha! nikashangaa kumbe na wanaume nao wanasuguliwa kucha??
Kabisa mkuu,ukisema uangalie hayo sijui ya ulaini sio,mwingine maisha yake kwa ujumla unakuta yuko hivyo.Hahaaa. Inategemea Ntu na Ntu Mkuu.
Mie siko hivyo mkono wowote tu kwangu ni sawa cha muhimu awe mwanaume aliyekamilika tu.
Jana nilikuwa nakatiza mitaa flani hivi ya tabata,daslaam..Anaishi mkoa gn huyo?.
Hahahaaaa. Kweli kabisa usemalo.Kabisa mkuu,ukisema uangalie hayo sijui ya ulaini sio,mwingine maisha yake kwa ujumla unakuta yuko hivyo.
Au uanaume halisi hauwi kwa kuwa na sura au ngozi ngumu,yani mtu niogope kukushika hajar nisijekukumiza??[emoji2] [emoji2]