Wanaume kuweni makini sana kuoa wanawake waliotoka Vyuoni

Wanaume kuweni makini sana kuoa wanawake waliotoka Vyuoni

Rule number 01. Mchumba hasomeshwi.

Rule number 02. Kataa ndoa.

Wanaume tatizo hamzingatii hizo Rules.

Anyway tutaendelea kukumbushana.
 
Siyo ubinafsi bali ni kwa sababu jamii ilishaaminishwa kwamba mwanaume ni kiumbe strong hawezi kuzidiwa akili wala nguvu na mwanamke ambaye yeye ni kiumbe dhaifu, jamii ilishaaminishwa kwamba katika mgogoro wowote ule baina ya mwanaume na mwanamke siku zote mwanamke ndiye anayepoteza mwanaume yeye hana cha kupoteza hivyo mwanamke hatakiwi kushindana na mwanaume maana yeye ndiye atakuwa victim, sasa kutokana na hiyo imani iliyojengeka inakuwa ngumu kuamini kwamba eti wanaume nao wanadhuriwa na wanawake ndio maana wanaume wanapolalamika jamii inawapuuza kwa kudhani kwamba hayo malalamiko ni batili na hayana uhalisia
Hii ni sahihi kabisa, kuna wanawake waliogundua udhaifu huo wa jamii and they take advantage.
Ikitokea sintofahamu ni vyema pande zote zisikilizwe bila kuangalia jinsia.
 
Siyo ubinafsi bali ni kwa sababu jamii ilishaaminishwa kwamba mwanaume ni kiumbe strong hawezi kuzidiwa akili wala nguvu na mwanamke ambaye yeye ni kiumbe dhaifu, jamii ilishaaminishwa kwamba katika mgogoro wowote ule baina ya mwanaume na mwanamke siku zote mwanamke ndiye anayepoteza mwanaume yeye hana cha kupoteza hivyo mwanamke hatakiwi kushindana na mwanaume maana yeye ndiye atakuwa victim, sasa kutokana na hiyo imani iliyojengeka inakuwa ngumu kuamini kwamba eti wanaume nao wanadhuriwa na wanawake ndio maana wanaume wanapolalamika jamii inawapuuza kwa kudhani kwamba hayo malalamiko ni batili na hayana uhalisia
Tukio limethibitishwa hospitali kuwa limetokea, haina haja ya kutokuamini, mbona hamkemei?
 
Kuna kitu nimekisoma hapa,
Swala la kuoa sio la kukurupuka, kaka yenu alidhani kapata kumbe kapatikana, Ali trade maisha yake kwa mtu asiye na upendo kwake
 
Taratibu mnaanza kuukubali uhalisia, kwamba mwanamke anamtii mwanaume endapo tu hana elimu wala ajira, tukiwaambia hali halisi iliyopo mnajidai mna mihemko na kuanza kututukana
Hapana, mimi sikubaliani na hii hoja. Hapo kuna factors nyingi sana, mifumo kubadilika, utandawazi, mmomonyoko wa maadili, ujinga, na mengineyo. Wanawake wa zamani hawakuwa ignorant kiasi hiki. Haya unafikiri kwanini huyo demu alimtafuta jamaa wa zamani na kumdharau mwanaume aliye msomesha? Hilo hali relate hata kidogo na uchumi, hilo ni kwamba mwanamke kamtumia jamaa, kama ngazi kurudiana na mchumba wake. Chanzo kikuu cha haya yote ni mifumo hasi uliyopata nguvu kadri miaka inavyozidi kwenda things are going to be more worse
 
Nitoe tahadhari, hata hao wasio na elimu kubwa the same wana matatizo kama huyu binti msomi, wakipata mwenye pesa kukuzidi hakuna rangi utaacha kuona. Oeni wacha Mungu, hawa wanajua thamani ya ndoa hata kama ni wasomi wakubwa na wana pesa hawaharibu ndoa zao. Ndoa kwao ni sehemu ya ibada na ni maadili mema katika jamii. Kuoa kibishibishi kwa tamaa ya kuoa pisi kali au mbaya bila ku predict tabia zake mficho hatari kwa ndoa huja kuleta majuto baadae na ndoa kusambaratika
Watu msicho jua ni kwamba mtu anaweza akawa sio msomi ila kaishi na wasomi hivyo wamemuambukuza ujinga
 
Ila wansemaga Dam ya mtu ni kama nzito or inaweza kukulilia ila sijui kama ni kweli but yule Binti mwaka 2022 Tabora huko, alipataga ajali mbaya sana Gari aliyokuwa anaendesha ikagongana na lori miguu yote ikabanwa mean ikasagika akakatwa miguu yote kwa sasa ni mlemavu kabisa hana miguu.
Daah inasikitisha sana.
 
Mimi nashangaa sana

Mtu unaoaje strenger?
Inamaana kwenye kukua kwako hakuna wasichana mliokuwa nao mtaani wazuri tu
Wazazi wako walikuwa pamoja mtaani, wanawake wa mtaani wanaokutongoza wote hua wanakukubalia, hata wakikukubalia hua unaoa tu hata kama hana sifa za kumuoa just kwasababu muko mtaani.
Au ulipoenda secondary hukuwa na target za wife material kichwani
Unakuwa na akili ya ku target wife material Secondary yaani ukiwa na miaka 14....WHAT THINKING ABILITY IS THIS.
Hata chuo miaka minne unaweza ukalenga mke anayejitambua tu

Mzee umeandika utoto sana humu yaani uneandika hili uandike
 
Tukio limethibitishwa hospitali kuwa limetokea, haina haja ya kutokuamini, mbona hamkemei?
Basi ifike pahala muiambie jamii kwamba na ninyi ni weak, na mnaweza kuwa victims kama wanawake tu, hamko strong kama mnavyoiaminisha jamii ili ijulikane moja
 
Hapana, mimi sikubaliani na hii hoja. Hapo kuna factors nyingi sana, mifumo kubadilika, utandawazi, mmomonyoko wa maadili, ujinga, na mengineyo. Wanawake wa zamani hawakuwa ignorant kiasi hiki. Haya unafikiri kwanini huyo demu alimtafuta jamaa wa zamani na kumdharau mwanaume aliye msomesha? Hilo hali relate hata kidogo na uchumi, hilo ni kwamba mwanamke kamtumia jamaa, kama ngazi kurudiana na mchumba wake. Chanzo kikuu cha haya yote ni mifumo hasi uliyopata nguvu kadri miaka inavyozidi kwenda things are going to be more worse
Mimi sikusoma mada hivyo nilijibu kulingana na comment ambayo huyo jamaa aliniquote, hayo mambo ya kutumiana yapo kwa jinsia zote mbili wala msiwalaumu wanawake tu, tena wanaume ndio mnaona fahari kabisa kuwatumia wanawake kwa madai kwamba wao ndio wanaoumia ninyi jinsia na maumbile yenu vinawabeba
 
Kijana unaetaka kuoa tafuta binti darasa la saba sogea sogea mpaka form four or six weka ndani kula maisha.

Usicheze na hao wacheza porn vyuoni kwa kigezo cha kusaidiana maisha siku akipata kazi,na kiuhalisia hiyo ni sababu ndogo sana ya kukufanya uje kujuta cuz hakuna kusaidiana maisha kati ya mwanamke na mwanaume dunia hii hilo mnadanganywa na ma-feminaa
Naunga mkono hoja yako mkuu
 
Ni kweli kabisa, mimi kuna mwanamke kanizidi miezi 7, kamaliza chuo anajitafuta na shughuli za hapa na pale, tupo wapenzi nashangaa ananisalimia, namuona kama tapeli tu, kwasababu hapo akipata kazi lazima aende kazini kwake, na najua hakuna ndoa ya mbali.
We jamaa acha uoga,chukua chuma hicho weka ndani ule mema ya nchi😂
 
Kuoa mwanamke mrembo kupitiliza Tena mwenye akili nyingi Ni kosa kubwa Sana la kiufundi, au tuseme Ni goli la kujifunga
 
Back
Top Bottom