Wanaume kuweni makini sana kuoa wanawake waliotoka Vyuoni

Upo sahihi sana, ila usahihi wako utaendelea kuongeza single mothers wengi mitaani
Na waongezeke tu if that is what it takes for them to be safe from mens harassment
 
Hili nafikiri nimeshakujibu kule siwezi kuandika jambo lile lile kila mara
Sijaona majibu kamili, bali kujificha kwenye hoja ambayo haina msingi.
Instead of kutoa majibu unaanza kufurahi on stupid stuff! Hujui kuwa hata wanaume pia wapo on competition wenyewe so wanawatumia nyie kama silaha kuamngamiza wenzao? Nyie ndo hamjitambui mnakaa kutumika tu endlessly. Sio coincidence shetani alimtumia hawa kula tunda. Unapaswa kuwa aware sio ku argue bila kuangalia vitu kwa ukubwa.
 
Hili mbona linaelewka wakuu..
Japo mimi nitaoa huyu niliye maliza nae chuo mana tushachakazana sana
 
Unaongea vitu gani wewe mbona sikuelewi? Inamaana mwanaume akifanya kosa mfano kachepuka , mke wake akamvizia usingizini akamchoma kisu, mume akafa, hiyo hamkemei kuwa ni ukatili, mawewe nae unatetea? Lakini ingekuwa mwanamke kapigwa kibao tu, kelele mitandaoni nchi nzima kuwa ni unyanyasaji.
 
So you are basically telling us we are in revenge times kwa huo mnaoita mfumo dume???
 
Nimefurahi sana na iwe kweli alikatwa miguu yote Karma is real wanawake wengi ni washenzi sana wasipokuwa na kitu mbaya zaid wakija kupata hawakumbuki wema wanakugeuza adui huyo mwanamke angesagwa shingo kabisa😡
 
Ni
Kataa ndoa kataa utapeli
 
Hata wa Form 6 ni marufuku!!!
Tuishie Form 4,
Tena mwenye "D" mbili.

Zikifika "D" 4, naye hafai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…