Wanaume kuweni wa kweli basi dah!

Mwenye kiti wa Chaputa hapa
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Sipati picha mlivyovurumushwa
 
Hahahaha
Nimecheka sana

Ahsante kwa story

Tofauti
Mimi nikimtongoza dada sijisifii na akiniuliza unafanya kazi huwa nadanganya namweleza kazi tofauti mfano deleva wa guta ili hali nimeajiriwa Kampuni flani... maisha ninayoishi magumu n.k so huwa wanakata tamaa.
tatizo moja tu ambalo Mimi ninalo na huwa hawanikubalii ni aibu
 
Yote hayo amefanya kwa sababu yako. Kupenda mitihani. Pole
 
Mimi sio muongo,nakwambia cute kazi yangu ni kuuza maji kwenye madumu hapa soko la magomeni dar,njoo nikulav basi..
 
Ndiyo maana nimejizoelea daladala.Mtu akija na bajaji na namheshimu tu .
 
Mabinti mnapenda magari
Ndiyo maana nimeamua kuweka cctv
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…