Wanaume kuweni wa kweli basi dah!

Wanaume kuweni wa kweli basi dah!

Yaani ulikuwa ndio umeshaliwa hivyo sema2 mzee kitambi alibugi
 
Hahahaha
Nimecheka sana

Ahsante kwa story

Tofauti
Mimi nikimtongoza dada sijisifii na akiniuliza unafanya kazi huwa nadanganya namweleza kazi tofauti mfano deleva wa guta ili hali nimeajiriwa Kampuni flani... maisha ninayoishi magumu n.k so huwa wanakata tamaa.
tatizo moja tu ambalo Mimi ninalo na huwa hawanikubalii ni aibu
Mimi huwa napenda wanaume wa ukweli kuliko wale wa longo longo
 
Maranyingi mwongo hufanikiwa kuliko mkweli. Uongo wa mwanaume kwa mwanamke ni sehemu ya maisha ya mwanaume.
 
Angekuja really ungemkubalia?
Ndio.tema swaga hadi nikubali mbona kawaida tu.maneno ya mwanaume huwa ni mazito kwa mwanamke..lakini yawe na ushawishi na vitendo
 
Back
Top Bottom