Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Sio kweli. Wengi wanaovaa hivyo ni wasengerema wanatafuta wanaume. Hakuna mwanaume anayejitambua anavaa hivyo.Ndo wanawake wanapenda
Hawana tofauti na maslay queen.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kweli. Wengi wanaovaa hivyo ni wasengerema wanatafuta wanaume. Hakuna mwanaume anayejitambua anavaa hivyo.Ndo wanawake wanapenda
kuvaa mtaani mimi naona poa tu ila sio unazunguka navyo mjiniWengine naona wanavivaaga liquor store ya mtaani, je ni makosa na yenyewe kuacha vinyweleo vya mguuni navyo vipunge upepo 😀😀😀😀
Leo nimewaona vijana kama 15 wamevaa vikaptula vya kubana wote.Mimi nikishaonaga mwanaume mwenzangu kavaa vile najua onana kashatoka .