Sio kweli. Wengi wanaovaa hivyo ni wasengerema wanatafuta wanaume. Hakuna mwanaume anayejitambua anavaa hivyo.Ndo wanawake wanapenda
kuvaa mtaani mimi naona poa tu ila sio unazunguka navyo mjiniWengine naona wanavivaaga liquor store ya mtaani, je ni makosa na yenyewe kuacha vinyweleo vya mguuni navyo vipunge upepo ππππ
Leo nimewaona vijana kama 15 wamevaa vikaptula vya kubana wote.Mimi nikishaonaga mwanaume mwenzangu kavaa vile najua onana kashatoka .