Wanaume ma bikira tukutane hapa

Wanaume ma bikira tukutane hapa

Namshukuru Mungu kwa kweli nilipofikia hata sasa wewe ni ebeneza .
Ninata maisha yangu yawekwe juu yako , ninata ujana wangu BaBA uwe kielelezo asante Yesu .

Yasiyo wezekana kwa wanadamu kwa Mungu yawezekana.
MATHAYO 19:25-26
 
Inasikitisha Mwanaume kujiita Bikra!!

Bikra ni kwa Mtoto wa kike.
 
Bikira

Bikira ni mwanamke yeyote asiyewahi kuingiliwa kijinsia na mwanamume. Kwa sababu hiyo kizinda kinacholinda tumbo la uzazi hakijaondolewa, bali kinabaki kama ushahidi wa hali hiyo.

Katika utamaduni wa makabila mbalimbali, kufikia ndoa katika hali hiyo ni jambo linalothibitisha msimamo wa mwanamwali unaotumainisha atakuwa mwaminifu kwa mume wake.

Haya nyie madume mnaojipambanua mabikira mtuambie vizuri.........
Hata Mimi nashindwa kuwatathimini,,wanadhani kila neno laweza kutumiwa mahala popote..?

Bikra Mtoto wa kike!!! Wakiume rijali.
 
Mimi sio bikra ila ni Bakra nahis mwandishi umekosea nimekuelewa lakin namimi nimo sijagusa ata kwa bahat mbaya
 
Karibuni wanaume wote ma bikira tuweze ku share mambo kadhaa yanayo tuhusu, pia afya ya uzazi ili tuwe makini tukiingia kwenye mahusiano.

Karibuni sana.

Nb: Kama umewai piga mastarbation wewe sio bikra.
Duuh
 
Back
Top Bottom