Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi pia naona.Hahahaaa!! Hawa fekelo bwana.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] Ndio hao sasaMachale kundesa mama!
Hahaahah[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Unamtunzia ambae hakutunzii
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Je ambao tunapata wet dreamz tuko upande upi
Hawa hapana kwakweli.[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] Ndio hao sasa
Bora mumy mana walio wengi wameshakubuhuHawa hapana kwakweli.
hahhahaaa...juan ishachakaza wengi wanajaa mabas ya mwendo kasi...Mke Wangu Atafaidi. Msiamini Stori Nnazoandikaga Humu Na Comment Mie Krabi. Sijawah Onja Tundu Lissu..
hapo sasa !![emoji3] [emoji3] samahani lakini kumbe nimepotea wakuuBikra za sehemu gani hizo mnazojisifia nazo?
Hata Mimi nashindwa kuwatathimini,,wanadhani kila neno laweza kutumiwa mahala popote..?Bikira
Bikira ni mwanamke yeyote asiyewahi kuingiliwa kijinsia na mwanamume. Kwa sababu hiyo kizinda kinacholinda tumbo la uzazi hakijaondolewa, bali kinabaki kama ushahidi wa hali hiyo.
Katika utamaduni wa makabila mbalimbali, kufikia ndoa katika hali hiyo ni jambo linalothibitisha msimamo wa mwanamwali unaotumainisha atakuwa mwaminifu kwa mume wake.
Haya nyie madume mnaojipambanua mabikira mtuambie vizuri.........
Kwani ndoto nyevu hazitoi wazungu...?tayari ushafungulia wazungu
Tumuulize atupe jibu...ndoto nyevu wazungu wakitoka huyo atabaki Bikra..?Ndoto nyevu je?
DuuhKaribuni wanaume wote ma bikira tuweze ku share mambo kadhaa yanayo tuhusu, pia afya ya uzazi ili tuwe makini tukiingia kwenye mahusiano.
Karibuni sana.
Nb: Kama umewai piga mastarbation wewe sio bikra.