Wanaume mje mtoe neno moja hapa

Nina majirani zangu huwa wakiamka asubuhi wakiwa wanatoka humo ndani kama wanakimbizwa. Anatoka wanaume kwa wanawake ukihesabu 9 unakuta unacheka tu, maana wanatoka wamevimba kisura kukaa watu wengi oxygen inakuwa ndogo asubuhi wanatoka kama maputo 🤣
🤣 🤣
 
😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…