cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa si ukweli?umewaaandama[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa si ukweli?umewaaandama[emoji23]
Umejuaje kama ni wao au hisia zako tu maana naona Kuna mwanaume kalala na mwanamke pembenisio wakimbizi hao ni wanaume wale wa kwenye kikao chenu hamuoi mnakula na kusepa
Duuh,hili swala la wanaume kuto kuoa lina kuuma sana inaonekana.halafu anatoka hapo anadai hatuoi[emoji23][emoji23][emoji23]
We unasemaje kuhusu hao watusio wakimbizi hao ni wanaume wale wa kwenye kikao chenu hamuoi mnakula na kusepa
Exactly ndiyo haoHawa n wale wa q net wapo mafunzoni
Aoe agundue nn tena?? maziwa anapata kwa nn afuge tenahalafu anatoka hapo anadai hatuoi[emoji23][emoji23][emoji23]
Inamtesa ya wanaume kula na kusepa.Anatumia energy kubwa kuwa aminisha watu picha ina maana ambayo hata haiendani. KWAMBA NI WANAUME AMBAO WANASEMA HAWAOI ndiyo wamelala hivyo . Embu tumkumbushe kidogoAoe agundue nn tena?? maziwa anapata kwa nn afuge tena
Wazee wa 'kujiegesha"😁😁Crew ya Q net hii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hhhh humo usiku unasikia harufu ya kila rangi.can someone switch off the light he want to see something!View attachment 2280146
Unatusingizia huwa hatuko hivyosio wakimbizi hao ni wanaume wale wa kwenye kikao chenu hamuoi mnakula na kusepa
Kulala daga hiyo inaitwaIt is really fun to watch. Unawaza wanalalaje humo ndani je wanalala na nguo za kulalia au vipi? Sehemu ambayo unaweza kuwa comfortable kuona watu wamelala wengi labda kwenye gari za kwenda mikoani. Ila gheto moja watu hivyo haifai kimaadili. .
Inaonekana wanawake mnaumia sana hili neno linawakera sana mkisikia tukisema hatuoi ?halafu anatoka hapo anadai hatuoi[emoji23][emoji23][emoji23]
Kulala watu wa jinsia moja unaweza usishangae ila pale wanapokuwa jinsia tofauti tofauti inafikirisha. .Kulala daga hiyo inaitwa
Ma slays queen wa mjini wanaishi hivyo
Na baadhi ya bar huwa zinapangia barmaid wote wanarundikwa chumba kimoja