Wanaume mje mtoe neno moja hapa

Wanaume mje mtoe neno moja hapa

sio wakimbizi hao ni wanaume wale wa kwenye kikao chenu hamuoi mnakula na kusepa
Umejuaje kama ni wao au hisia zako tu maana naona Kuna mwanaume kalala na mwanamke pembeni
 
halafu anatoka hapo anadai hatuoi[emoji23][emoji23][emoji23]
Duuh,hili swala la wanaume kuto kuoa lina kuuma sana inaonekana.

Kwanza hata picha haihusiani na swala la kuoa kabisa.

Maana kuna wanaume humo wamelala na wanawake.

-Aliye toa wazo la watu wako kwenye Interview wame organize kuchukua eneo moja kujiegesha kidogo Ina make sense.

-Q net gang maana wanajikuta Wana maisha,Wakati Kwa uhalisia wao hawana maisha.

-Wakimbizi,inaweza ku make sense at least.Maybe walikimbia kwa pamoja wakapata kichumba wakaamua kuliendeleza

- Wafanyakazi wa boss,Boss kawaweka hapo.Pakikucha kazi inaendelea.



Lakini siyo swala la kuoa[emoji16],Hata picha haiendani kabisa.

Swala la kuoa hata bible imeandika Kwa kipindi hiki na kijacho mwanaume atakuwa kama dhahabu akigombaniwa na wanawake wengi.Wala usiumize kichwa[emoji16]
 
Aoe agundue nn tena?? maziwa anapata kwa nn afuge tena
Inamtesa ya wanaume kula na kusepa.Anatumia energy kubwa kuwa aminisha watu picha ina maana ambayo hata haiendani. KWAMBA NI WANAUME AMBAO WANASEMA HAWAOI ndiyo wamelala hivyo . Embu tumkumbushe kidogo
Screenshot_20220703-225445~2.jpg
 
Wengine ni kama hawana vichwa ila wamelala na viatu
 
It is really fun to watch. Unawaza wanalalaje humo ndani je wanalala na nguo za kulalia au vipi? Sehemu ambayo unaweza kuwa comfortable kuona watu wamelala wengi labda kwenye gari za kwenda mikoani. Ila gheto moja watu hivyo haifai kimaadili. .
Kulala daga hiyo inaitwa

Ma slays queen wa mjini wanaishi hivyo

Na baadhi ya bar huwa zinapangia barmaid wote wanarundikwa chumba kimoja
 
Kulala daga hiyo inaitwa

Ma slays queen wa mjini wanaishi hivyo

Na baadhi ya bar huwa zinapangia barmaid wote wanarundikwa chumba kimoja
Kulala watu wa jinsia moja unaweza usishangae ila pale wanapokuwa jinsia tofauti tofauti inafikirisha. .
 
Inaonekana wanawake mnaumia sana hili neno linawakera sana mkisikia tukisema hatuoi ?
mkuu akuna anaeumia tunawakumbusha tu msije uzeeni mkaanza kungangania watoto wa dada zenu waje wawatembelee😂
 
Back
Top Bottom