Wanaume mje mtoe neno moja hapa

mkuu akuna anaeumia tunawakumbusha tu msije uzeeni mkaanza kungangania watoto wa dada zenu waje wawatembelee[emoji23]
Sasa kama hao wanaume Hawaii hao dada zao nani atawaoa? Au watoto gani wawatembelee?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…