Wanaume mkiomba namba ya simu mpige

Mbona hupokei chimu yangu tena we nawe![emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo tukisevu baadae tunachanganya hujui ulisevu kwa jina gani.
 
Nishawahi kuomba namba za simu kwa mdada..cha ajabu sasa hapohapo mdada kanigeuzia kibao yake kunipa hataki anataka namba yangu khaa nikabaki nashangaa..ila Nilimpa na akanipigia na papuchi akanipa bila choyo..!!dah
 


Khaaa!, nusu saa mzima anauliza bei?!!
Shoga huyo sasa atakuwa ana negotiate bei..
Najua wengine wanakuwa na nia na kumpeleka mdada mahala swafi penye swagga lakini mambo ya kufika na kuanza maongezi kama hayo badala ya kuwa na binti si mazuri sana.
Halafu chonde chonde wasiulize bei mbele yetu mweeh!..
 


hahha tupo weng !jingine inaambiwa let say 53000/ linalipuka khaa! we kwan vinywaj sh ngap hahaha hayo fanyen mshakuwa wapenzi jaman mwe mwe mwe au mshaoana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…