Hahahaaa. Nitakupiga mzinga mmoja matata sana walahi hutarudi. [emoji23] [emoji23] [emoji23]naomba nambo yako Emmy, walai nitapiga
Nakutajia andika. Ila upige basi. [emoji23] [emoji23]Naomba namba yako basi
Ahaa. Kama hivyo sawa.naomba namba kwa sababu nakuwa nipo kwenye mafunzo ya kupata experience kwenye hayo mambo![emoji53]
Honestly, nimecheka saana baada ya kusoma huu uzi...haahahahahhha, duuu! nimecheka hapo mwishoni pamoja na hiyo picha hahahahaha
Nimekumbuka tu enzi hizo mwanaume anakuja vizuri tu anaomba namba unampa bila hiyana ila siku inapita wiki, mpaka mwezi haupokei simu kutoka kwake.
Kwanini unaomba namba na kusave kabisa kama hauna nia ya kupiga?
Inakera mjue.
Kijiweni mashosti nao wakaligusia hili, eti "kuna jamaa kaomba namba kwenye basi wiki sasa hajapiga kabisa, sijui aliomba ya nini mxieee"
Wanaume mjirekebishe bwana kama mtu hautaki mawasiliano nae usiombe namba, inakera halafu ni kama kumchoresha mtu.
Hasa kwa wale watu ambao bado wanasearch au MBA's inakera.Ndiyo maana siku hizi ukiomba namba mwanamke anakwambia nipe ya kwako.
Please remember to call back.
Hivi ndivyo simu zenu huwa zinasubiriwa!![emoji23] [emoji23]
Cheka tu shemeji mana hakuna jinsi.Huu Uzi imebidi tu nicheke kisha nikupe like.
Kila la Heri.
Mzinga wowote nitaupokea tu [emoji5] [emoji5]Hahahaaa. Nitakupiga mzinga mmoja matata sana walahi hutarudi. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ngoja niikumbike vizuri kuna tarakimu moja huwa naisahau. [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Cheka tu shemeji aisee.
Nakusalimia.
Eti eee. Basi mkuu ngoja niikumbuke narudi. [emoji124] [emoji124]Mzinga wowote nitaupokea tu [emoji5] [emoji5]
Mzima kabisa mie.Asante sana.
Mzima wewe Shem, wangu!?
Mdogo wako anakusabahi sana.
Mzima kabisa mie.
Ahsante sana shem nashukuru kwa salamu nami pia namsabahi.
hahha tupo weng !jingine inaambiwa let say 53000/ linalipuka khaa! we kwan vinywaj sh ngap hahaha hayo fanyen mshakuwa wapenzi jaman mwe mwe mwe au mshaoana
Mshaki mmoja sh ngapi? Kama ni first date tayari keshapoteza marks
Nikipiga utapokea?Nakutajia andika. Ila upige basi. [emoji23] [emoji23]
Utakuta jamaa anampa simu mdada kashaanza kuandika 07..alafu endelea [emoji23] [emoji23]Tena anakupa simu yake uandike teh teh,
Ukimaliza anauliza nisave nani?
Unamtajia kwa mbwembwe..
Baada ya hapo chaliii huoni simu wala sms
ni defense mechanism.........na nakuhakikishia asilimia 70 ya namba itakayokupigia kwanza sio namba ambayo watu wote hupewa.with time,uki qualify,ndo unapewa NAMBA sasaLakini unajua nyie huwa mnaomba kisha mnasave haoo mnaondoka.
Kwa hiyo namba zenu tunakua hatuna.
Sa kama unayo makubwa nikuiteje??😛Tukipiga majina mnayotusave sasa, mara matako, mara shetani, mara faru john duh