Wanaume mkiomba namba ya simu mpige

Wanaume mkiomba namba ya simu mpige

naomba nambo yako Emmy, walai nitapiga
Hahahaaa. Nitakupiga mzinga mmoja matata sana walahi hutarudi. [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ngoja niikumbike vizuri kuna tarakimu moja huwa naisahau. [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Naomba namba yako basi
images
Nakutajia andika. Ila upige basi. [emoji23] [emoji23]
 
haahahahahhha, duuu! nimecheka hapo mwishoni pamoja na hiyo picha hahahahaha
Honestly, nimecheka saana baada ya kusoma huu uzi...

Hornet nafikiri sijui ni mazoea..

Nitajitolea mfano, siku hizi nitakutana na mdada tutapiga stori hadi ukitukuta utafikir tunafahamiana miaka 2 nyuma.

Wakati wa kuagana naona sio vizuri acha nichukue mawasiliano au yeye ananiwahi chukua mawasiliano yangu.

Ubaya sijui ni mambo yamekuwa mengi sijui tamaa zimepungua ukishaagana naye umesahau kila kitu. Ila nyuma kidogo siku mbili hazipiti.
Nimekumbuka tu enzi hizo mwanaume anakuja vizuri tu anaomba namba unampa bila hiyana ila siku inapita wiki, mpaka mwezi haupokei simu kutoka kwake.

Kwanini unaomba namba na kusave kabisa kama hauna nia ya kupiga?
Inakera mjue.

Kijiweni mashosti nao wakaligusia hili, eti "kuna jamaa kaomba namba kwenye basi wiki sasa hajapiga kabisa, sijui aliomba ya nini mxieee"

Wanaume mjirekebishe bwana kama mtu hautaki mawasiliano nae usiombe namba, inakera halafu ni kama kumchoresha mtu.

Hasa kwa wale watu ambao bado wanasearch au MBA's inakera.Ndiyo maana siku hizi ukiomba namba mwanamke anakwambia nipe ya kwako.

Please remember to call back.

4b015155e1b3215f74aacab08cf5c8a8.jpg



Hivi ndivyo simu zenu huwa zinasubiriwa!![emoji23] [emoji23]
 
Hahahaaa. Nitakupiga mzinga mmoja matata sana walahi hutarudi. [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ngoja niikumbike vizuri kuna tarakimu moja huwa naisahau. [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Mzinga wowote nitaupokea tu [emoji5] [emoji5]
 
Juzi tu nimechukua namba kwa do halafu nawaza kupiga. Ujue ukisha anza mawasiliano tu kinachofuata ni kupigwa virungu. Msimu wa Mjomba magu akili inataka ila hali ya uchumi inagoma. Huu Uzi unaukweli kabisa jamani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini unajua nyie huwa mnaomba kisha mnasave haoo mnaondoka.
Kwa hiyo namba zenu tunakua hatuna.
ni defense mechanism.........na nakuhakikishia asilimia 70 ya namba itakayokupigia kwanza sio namba ambayo watu wote hupewa.with time,uki qualify,ndo unapewa NAMBA sasa
 
Back
Top Bottom