Wanaume mkiomba namba ya simu mpige

Nipe namba yako nikupigie[emoji4] [emoji4] [emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tena anakupa simu yake uandike teh teh,
Ukimaliza anauliza nisave nani?
Unamtajia kwa mbwembwe..
Baada ya hapo chaliii huoni simu wala sms
mnaomba omba sana...yaani dk mbili nyingi mnakuja na bill zenu zile...
 
Wajuaje huyo aliyekuomba namba labda kashakufa na huna habari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo na nyie mkiombwa mnakazaaaa, pengine mtu anashuka baada ya vituo viwili wewe humuelewi tu. hebu mkiombwa toeni hizo namba jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…