Wanaume mkiomba namba ya simu mpige

Hapana akisema nipe yako ni maana kwamba anataka akamate territory,.apige mwenyewe maanake akikupatia yake anaweza kusubiri meli airport.
 
Naomba namba please!
 
Haka kauzi kameleta maana ya jf.

Wakati mwingine burudani sio kila muda tuu nondo za sia


Ooo mara dikteta uchwara,
Ooo mara msalitiiii...


Oooj. Mara makinikia

Oooh mara chadema


Ooooh, mara ma ccm

Oooh, mara noah


Leo nimeinjoi kweli,
Wacha tu tucheke hamna namna.
MMU inapooza sana siku hizi.
 
Huwa unadave herufi mbili za katikati na moja ya mwisho?
Kwa mfano dada anaitwa Khadija
Unamsave adia...
Kuja kukumbuka ni nani hapo zoezi la ziada lazima lifanyike.
 
We nipe no. yako mi huwa napiga sanaa.
 
Huwa unadave herufi mbili za katikati na moja ya mwisho?
Kwa mfano dada anaitwa Khadija
Unamsave adia...
Kuja kukumbuka ni nani hapo zoezi la ziada lazima lifanyike.
Unaweza tamanibuwapigie voda wakwambie jina

Wakati mwingine hii ya kumwangalia M-PESA nayo inakuwaga majanga
 
Hafu muangalie na vifurushi jamani, siku hizi vinakaba ujue!![emoji38] [emoji38] [emoji38]

Nakumbuka enzi zile sh. 100 unaongea bila kikomo kuanzia saa nne[emoji134] [emoji134] voda to voda

Wakaja airtel na lipromosheni sijui lilitwaje 2000 wiki nzima wadada walikoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…