jaman nimecheka sana jaman ! mie sipend kuombwa namba public! jaman unakuwa unajistukia tu !hebu wanaume halisi tengezeni business card jaman ! na sie tutengenezege mwee ! cc demi ,Neybright ,Heaven Sent ,espy ,Nalendwa ,Doris Gabriel ,babydoll
Lakini unajua nyie huwa mnaomba kisha mnasave haoo mnaondoka.
Kwa hiyo namba zenu tunakua hatuna.
Tena anakupa simu yake uandike teh teh,jaman nimecheka sana jaman ! mie sipend kuombwa namba public! jaman unakuwa unajistukia tu !hebu wanaume halisi tengezeni business card jaman ! na sie tutengenezege mwee ! cc demi ,Neybright ,Heaven Sent ,espy ,Nalendwa ,Doris Gabriel ,babydoll
Hahahahahah
Hiyo mi huwa inanikuta sana, mara nyingi huwa nasahau, na huwa inatokea baada ya kuwaomba wengine ka wewe wa 4 ivi.Nimekumbuka tu enzi hizo
Mwanaume anakuja vizuri tu anaomba namba unampa bila hiyana ila siku inapita wiki,mpaka mwezi haupokei simu kutoka kwake.
Kwa nini unaomba namba na kusave kabisa kama hauna nia ya kupiga?
Inakera mjue,
Kijiweni mashosti nao wakaligusia hili ,eti "kuna jamaa kaomba namba kwenye basi wiki sasa hajapiga kabisa,sijui aliomba ya nini mxieee"
Wanaume mjirekebishe bwana kama mtu hautaki mawasiliano nae usiombe namba,
Inakera halafu ni kama kumchoresha mtu.
Hasa kwa wale watu ambao bado wanasearch au MBA's inakera.
Ndiyo maana siku hizi ukiomba namba mwanamke anakwambia nipe ya kwako.
Please remember to call back.
Hivi ndivyo simu zenu huwa zinasubiriwa!![emoji23] [emoji23]
Tena anakupa simu yake uandike teh teh,
Ukimaliza anauliza nisave nani?
Unamtajia kwa mbwembwe..
Baada ya hapo chaliii huoni simu wala sms
Wengine hua tunajaribu kuridhisha macho ila hatutoi nafasi moyoniNimekumbuka tu enzi hizo
Mwanaume anakuja vizuri tu anaomba namba unampa bila hiyana ila siku inapita wiki,mpaka mwezi haupokei simu kutoka kwake.
Kwa nini unaomba namba na kusave kabisa kama hauna nia ya kupiga?
Inakera mjue,
Kijiweni mashosti nao wakaligusia hili ,eti "kuna jamaa kaomba namba kwenye basi wiki sasa hajapiga kabisa,sijui aliomba ya nini mxieee"
Wanaume mjirekebishe bwana kama mtu hautaki mawasiliano nae usiombe namba,
Inakera halafu ni kama kumchoresha mtu.
Hasa kwa wale watu ambao bado wanasearch au MBA's inakera.
Ndiyo maana siku hizi ukiomba namba mwanamke anakwambia nipe ya kwako.
Please remember to call back.
Hivi ndivyo simu zenu huwa zinasubiriwa!![emoji23] [emoji23]
Haaa Mshanajr kaka mkubwa na wewe huwa unatunza namba?Sometimes ni kutaka kutengeneza database ya phone book ya wanawake tu na sometimes ni mambo ya kiutafiti zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kwa nini uombe wakati hauna haja nayo jamani?Wengine hua tunajaribu kuridhisha macho ila hatutoi nafasi moyoni
Ni hulka ya mwanaume kutamani wakati huohuo ukiachana nae anakutana na figa tofauti na wewe kusema na kuomba namba hua kuna tupa nafasi ya kuwapunguzia mizigo wake zetu kwa kuwawaza watu wengine
Hayo yooooooote nimeonge pumba
Ukweli ni kwamba timechosha na simu moja kibomu eti mnataka matumizi