Wanaume mkiomba namba ya simu mpige

Wanaume mkiomba namba ya simu mpige

Nimekumbuka tu enzi hizo
Mwanaume anakuja vizuri tu anaomba namba unampa bila hiyana ila siku inapita wiki,mpaka mwezi haupokei simu kutoka kwake.
Kwa nini unaomba namba na kusave kabisa kama hauna nia ya kupiga?
Inakera mjue,
Kijiweni mashosti nao wakaligusia hili ,eti "kuna jamaa kaomba namba kwenye basi wiki sasa hajapiga kabisa,sijui aliomba ya nini mxieee"

Wanaume mjirekebishe bwana kama mtu hautaki mawasiliano nae usiombe namba,
Inakera halafu ni kama kumchoresha mtu.
Hasa kwa wale watu ambao bado wanasearch au MBA's inakera.
Ndiyo maana siku hizi ukiomba namba mwanamke anakwambia nipe ya kwako.
Please remember to call back.


Hivi ndivyo simu zenu huwa zinasubiriwa!![emoji23] [emoji23]
4b015155e1b3215f74aacab08cf5c8a8.jpg
Hiyo mi huwa inanikuta sana, mara nyingi huwa nasahau, na huwa inatokea baada ya kuwaomba wengine ka wewe wa 4 ivi.
 
Nimekumbuka tu enzi hizo
Mwanaume anakuja vizuri tu anaomba namba unampa bila hiyana ila siku inapita wiki,mpaka mwezi haupokei simu kutoka kwake.
Kwa nini unaomba namba na kusave kabisa kama hauna nia ya kupiga?
Inakera mjue,
Kijiweni mashosti nao wakaligusia hili ,eti "kuna jamaa kaomba namba kwenye basi wiki sasa hajapiga kabisa,sijui aliomba ya nini mxieee"

Wanaume mjirekebishe bwana kama mtu hautaki mawasiliano nae usiombe namba,
Inakera halafu ni kama kumchoresha mtu.
Hasa kwa wale watu ambao bado wanasearch au MBA's inakera.
Ndiyo maana siku hizi ukiomba namba mwanamke anakwambia nipe ya kwako.
Please remember to call back.


Hivi ndivyo simu zenu huwa zinasubiriwa!![emoji23] [emoji23]
4b015155e1b3215f74aacab08cf5c8a8.jpg
Wengine hua tunajaribu kuridhisha macho ila hatutoi nafasi moyoni

Ni hulka ya mwanaume kutamani wakati huohuo ukiachana nae anakutana na figa tofauti na wewe kusema na kuomba namba hua kuna tupa nafasi ya kuwapunguzia mizigo wake zetu kwa kuwawaza watu wengine


Hayo yooooooote nimeonge pumba

Ukweli ni kwamba timechosha na simu moja kibomu eti mnataka matumizi
 
Wengine hua tunajaribu kuridhisha macho ila hatutoi nafasi moyoni

Ni hulka ya mwanaume kutamani wakati huohuo ukiachana nae anakutana na figa tofauti na wewe kusema na kuomba namba hua kuna tupa nafasi ya kuwapunguzia mizigo wake zetu kwa kuwawaza watu wengine


Hayo yooooooote nimeonge pumba

Ukweli ni kwamba timechosha na simu moja kibomu eti mnataka matumizi
Sasa kwa nini uombe wakati hauna haja nayo jamani?
 
Watasema wako busy. Unajuiliza vip wako busy? Mungu mwenyewe alipumzika isitoshe mungu ndo inabidi aseme yuko busy maana anahudumia wateja wengiiii mno.

hospitalin wagonjwa wanamuita.

Walopata ajari wanauita

huko makanisani ndo usiseme

mungu wa tanzania nae yupo busy anaomba watu wamuombee kwa mungu kha!


sio hao tu hata mwizi yuko busy anamuomba mungu asikamatwe.

Sembuse wewe kikazi kimoja eti uko busy?? Busy my foot!

Bora hata sisi ambao tupo busy tunamshukuru mungu kwa kukamata li bombadia huko canada.
 
Back
Top Bottom