Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Duuuh!!.....Kuna mtoto mwenye chura nimeomba namba yake ya simu kule badoo nilikuwa sina mpango wa kumpigia sasa inabidi nimpigie!![emoji53][emoji53][emoji53]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Watasema wako busy. Unajuiliza vip wako busy? Mungu mwenyewe alipumzika isitoshe mungu ndo inabidi aseme yuko busy maana anahudumia wateja wengiiii mno.
hospitalin wagonjwa wanamuita.
Walopata ajari wanauita
huko makanisani ndo usiseme
mungu wa tanzania nae yupo busy anaomba watu wamuombee kwa mungu kha!
sio hao tu hata mwizi yuko busy anamuomba mungu asikamatwe.
Sembuse wewe kikazi kimoja eti uko busy?? Busy my foot!
Bora hata sisi ambao tupo busy tunamshukuru mungu kwa kukamata li bombadia huko canada.
Hata kule nimetupia nikiwa wima wima.Huenda umekariri vibaya huo ujumbe, nimeomba utume ukiwa umesimama
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani nanyupu hakuomba namba ya simu?[emoji4][emoji4][emoji4]jaman nimecheka sana jaman ! mie sipend kuombwa namba public! jaman unakuwa unajistukia tu !hebu wanaume halisi tengezeni business card jaman ! na sie tutengenezege mwee ! cc demi ,Neybright ,Heaven Sent ,espy ,Nalendwa ,Doris Gabriel ,babydoll
how madam,nieleweshe bas kulee...hahha we fikiri vby tu ! mwenzako nna maana nyingi sana hapo !ohooo
Mimi mwanamke ambae hana chura siwezi kumpigia simu ng'oo!![emoji57][emoji57][emoji57]Hahaaaa. Nimecheka sana.
Walio wengi watapita kimya kimya. Ila wanaume muwe mnapiga jamani pale mnapoomba namba na mkafanikiwa kupewa
Kwani nanyupu hakuomba namba ya simu?[emoji4][emoji4][emoji4]
Sasa unaiomba namba ya nini mkuu?Mimi mwanamke ambae hana chura siwezi kumpigia simu ng'oo!![emoji57][emoji57][emoji57]
how madam,nieleweshe bas kulee...
chef
Kweli bwana business card muhimu, bora upewe card hlf mwenyewe utajua kama umpigie au la. Kama halipi akikupa mgongo tu unaichana hapo hapojaman nimecheka sana jaman ! mie sipend kuombwa namba public! jaman unakuwa unajistukia tu !hebu wanaume halisi tengezeni business card jaman ! na sie tutengenezege mwee ! cc demi ,Neybright ,Heaven Sent ,espy ,Nalendwa ,Doris Gabriel ,babydoll
Shem kumbe bado unalipa!![emoji4][emoji4][emoji4]Haaaha imenitokea week lilopita !baba kanifatilia nyuma yangu weeee uwii kwanza lisinipigie tu ! pyee
Mimi mwanamke ambae hana chura siwezi kumpigia simu ng'oo!![emoji57][emoji57][emoji57]