Wanaume mkiomba namba ya simu mpige

Duuuh!!.....Kuna mtoto mwenye chura nimeomba namba yake ya simu kule badoo nilikuwa sina mpango wa kumpigia sasa inabidi nimpigie!![emoji53][emoji53][emoji53]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Imebidi nicheke tu, naomba namba yako me siko bize sana[emoji12]
 
Duuuh!!.....Kuna mtoto mwenye chura nimeomba namba yake ya simu kule badoo nilikuwa sina mpango wa kumpigia sasa inabidi nimpigie!![emoji53][emoji53][emoji53]
Hebu piga haraka sana.
 
Mhh! Alikufanya nini au ndiyo hivyo tukiona manyoa ujue kaishaliwa..! [emoji16][emoji16][emoji16]

Street teacher
Hapana yule brother wangu na shemeji pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…