we si umenitusi
Ww c ushapata mpenz humuhum jf business card ya nn tena[emoji15] [emoji15] [emoji15]jaman nimecheka sana jaman ! mie sipend kuombwa namba public! jaman unakuwa unajistukia tu !hebu wanaume halisi tengezeni business card jaman ! na sie tutengenezege mwee ! cc demi ,Neybright ,Heaven Sent ,espy ,Nalendwa ,Doris Gabriel ,babydoll
[emoji2] [emoji2] [emoji2]Assist ndio kikwazo dada yangu.
Maana wanawake nao hawana break ya kuombea Assist
Hahaaa!, Mbonaa watengeneze business cards kwa kweli, waache mambo ya kuandika namba kwenye kikaratasi au mkononi...lol!
Aisee hizi dharau sasa.Kwa tabibu umefeli big time..nilishajisevia kwa raha zangu
Mnatongoza kwa mbwembwe hivi ukiombwa hela unakimbia.Hahaha Juzi nilikuwa kwenye graduation moja, ya darasa la 7. Basi nikatarget wadada kama watatu hivi. Environment ilikuwa mbaya kuflirt. So nikawa nasubiri waende sehemu ambayo haina watu sana.
Wa kwanza akatoka, nikamfata, nakukimbia kote Kule, nikapiga vocal, sijamaliza tu, naona kioo cha X-trail kinashuka. 'Ndani!' Basi yule Dada akaniambia kaka atamind acha niende.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wapili, namuona anatoka nje na cake pamoja na graduate wake, mie namkaribia tu. Huyo kasepa na gari[emoji19] [emoji19] [emoji19] .
Watatu sasa, hapo graduation ilishaisha. Watu wachache. Huyu alikuwa na wamama wakubwa wengi. Tho mmoja ndio alikuwa nae karibu sana, nikaassume kuwa ni mama yake. Nikamtime mama asepe. Nikamfukuzia. Kumbe aliyeondoka ni Aunty, mama alikuwa kaketi[emoji23] [emoji23] [emoji23] Convo ilikuwa hivi;
Ghost: 'Hey mambo, naitwa Ghost. I say you from the gate, I thought you were really cute, and I had to come and tell you.' Hapo naongea kwa sauti cause kulikuwa na mziki. So mama alisikia yote.
X: 'Oh really, thank you.' Big smile
Ghost: 'Congratulations, where is your graduate?' Akanipointia. Nikampa hongera kijana.
Ghost: ' What about you? Are you in university?'
X: 'Yes, nasoma Waterloo university, Canada. And you?' Nikamjibu pamoja na fixi juu maana alionekana maji marefu.
Ghost: 'I really have to go, I would like to have your number, maybe we can hangout sometime.'
Kilichotokea. Akaangalia pembeni, alafu akaanza kusema 'mama yangu huyo.'. At this time mama kweli alikuwa amenipiga jicho anasikiliza.
X: 'No I can't give you my number. Thanks for asking tho.' Bonge la smile. Nikaona duh! Leo mission failed.
Ghost: ' What about Facebook?'
Akawaanaongea polepole 'mama'
Basi nikamuaga. Huyo nikasema without a fish. All I heard was...
X: 'Thank you.'
Huyu X alikuwa kisu kweli. Anyway nikarudi simu phonebook outdated.
My point[emoji115] [emoji115] [emoji115] ? Nyie tengenezeni mazingira mazuri yakutongozwa. Sasa Huyu Dada mzima nae analalamika mama. Amemiss bonhe la opportunity. Ningempigia same day alafu Monday tunaenda kupreorder IPhone 8[emoji12] [emoji12] [emoji12] .
Cc Wale wote mnaopata tabu kupiga vocal, tumia hizo line zangu, zitwist kidogo tu. Hazijawahi kufail. Unaweza kosa number but ni mazoezi tu. Just make the girl never forget the moment.
-callmeGhost
Ww c ushapata mpenz humuhum jf business card ya nn tena[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Sent using Jamii Forums mobile app
hahaahahahahahahahahaha aibu sana ndo hawa unaenda nae hotelin anauliza bei kwa nusu saa zima mnauliza tu bei !khaaa! we km una mwanamke we fika agiza msos na vinywaj pigeni masuala ya kusema heinken kubwa sh ngapi yaishe jaman! we agiza kunywa PAY THE BILLS
hamna badoDah....umecheki salio lakini?[emoji12] [emoji13] [emoji13]
Sent from my beretta ARX 160 using JamiiForums Mobile App
Kumbe una target za kuuza penzi?Mnatongoza kwa mbwembwe hivi ukiombwa hela unakimbia.
Ha ha ha hiyo ni mbinu tu ya kukuchota akili ili ujae...Nimekumbuka tu enzi hizo
Mwanaume anakuja vizuri tu anaomba namba unampa bila hiyana ila siku inapita wiki, mpaka mwezi haupokei simu kutoka kwake.
Kwa nini unaomba namba na kusave kabisa kama hauna nia ya kupiga?
Inakera mjue.
Kijiweni mashosti nao wakaligusia hili, eti "kuna jamaa kaomba namba kwenye basi wiki sasa hajapiga kabisa, sijui aliomba ya nini mxieee"
Wanaume mjirekebishe bwana kama mtu hautaki mawasiliano nae usiombe namba,
Inakera halafu ni kama kumchoresha mtu.
Hasa kwa wale watu ambao bado wanasearch au MBA's inakera.
Ndiyo maana siku hizi ukiomba namba mwanamke anakwambia nipe ya kwako.
Please remember to call back.
Hivi ndivyo simu zenu huwa zinasubiriwa!![emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji2] [emoji2] [emoji2]
Hivyo mdogo wangu unaogopa kupiga kisa utaombwa assist. Ila sio wote ujue.
Noooo mi nakukusha tu maana hamchelew kuazixha threadHaaaaahaha we shida yako kunichonganisha !hahahahhha uwiii naweza sema hivi DUNIA INAZUNGUKA KWENYE MHIMILI WAKE
Sasa si bora hata ujitambulishe mtu atajiongeza!Ha ha ha hiyo ni mbinu tu ya kukuchota akili ili ujae...
Mi nikipewaga namba naweza kaa hata siku 3 bila kupiga, zaidi nitakujulisha tu kwamba hii ndo namba yangu!
Mwingine nilikaa kama wiki hiv ikabidi aanze kuuliza ulikuwa unasemaje!!
Nilikutana na kidosho mmoja wa kidosi kwenye train, nakwenda kwenye mkutano mmoja wa corporate midtown Manhattan.Unajua kuna mazingira unaweza kuomba namba ya mtu ama kubadilishana namba
Lakini kuna ile mtu stranger kabisa labda mmekutana tu barabarani anakuomba namba hata haujamaliza kushangaa
Huyo mtu anaondoka zake hapa inakua ngumi.
Na ulichosema ni sawa pia.
Huu usawa tunaousema ni mrahisi katika maneno siyo katika vitendo wanawake tumeumbiwa haya,
Hivyo mwanamke kuwa na ile nguvu ya kuomba namba nalo ni jambo jingine.
Walaaaa, Naanzaje kukutusi.? Itakuwa umenifananisha na uliyempa namba halafu hajakupigia
Maashaallah..Nilikutana na kidosho mmoja wa kidosi kwenye train, nakwenda kwenye mkutano mmoja wa corporate midtown.
Mwanako nimepiga suti zangu zile za corporate meetings, nimetokea kama Denzel in his prime.
Mtoto wa kidosi si mwenyewe kaanza kujileta karibu kama mdudu anayefuata taa inayowaka?
Mtoto wa kidosi wadosi fulani wale kama wa Hollywood, katoka katokahasa.Anajishaua shaua tu, mara sijui unafanya kazi wapi, mara kafungua laptop.
Mara sijui tufanye professional networking wote tunafanya kazi field sawa mji mmoja ni vizuri kujuana.
Nikampa benefit of doubt labda kwelianatakaprofessional networking.
Sasa na mimi babako huwa natoa moves za ki James Bond. Nikapiga naye stories poa, akaomba yeye namba nikampa, na mimi nikachukua yake.
Lakini mwisho wa mchezo nikasemahuyu nampotezea kwa sababu hata kama mzuri vipi, siwezi kumsaliti Bi. Zuhra mwenye neema zote kwangu.
Mpaka leo sijampigia simu.