Wanaume mkiomba namba ya simu mpige

ah zako ziko outdated sana...
 
hivi wewe Complex kinachokufanya uende hotelinuulizie bei ya soda ni nn ? au uulize bia bei zake ni nn na ndo first date na mwanamke ! mie atleast nitakuelewa ukiuliza bei za rooms !sio misos !aibu aiseee !sijui lakin

Hahhaaaa, Aisee mimi nauliziaga bei ili nijue namchangia Magufuli na serikali yake sh ngapi. Nikikuta naichangia serikali yagu tukufu pesa kidogo, Basi naondoka hiyo hoteli naenda tafuta hoteli ambayo nitachangia pesa nyingi.
 
hahahahhha usitufanyie hvyo mkuu !
Au mkuu usipopigiwa ujue mwanaume anamlia tyming ya kumwacha demu wake. Akishapiga chini tu utaona simu kama mvua mara ooo samahani nilikua nje ya nchi na nini hapo sasa ushindwa mwenyewe, akipiga simu na maelezo kama hayo unamwambia nakupiga faini ya kukawia kupiga simu
 
Please inbox me your number will call rightaway
 
Naomba namba yako
 
Kwanza wewe hadi leo PM's zangu hujibu au PM sio sawa na namba ya simu? Hornet
 
Hahhaaaa, Aisee mimi nauliziaga bei ili nijue namchangia Magufuli na serikali yake sh ngapi. Nikikuta naichangia serikali yagu tukufu pesa kidogo, Basi naondoka hiyo hoteli naenda tafuta hoteli ambayo nitachangia pesa nyingi.



mie huwa naona kero! kuna sk mkaka mmoja akaishiwa 500 akaniambia mbiti ongezea hapa (hapo tupo kwa daladala wanachuo) !heee fika hotelini aliuliza bei ya koka na pepsi! nilipomaliza kunywa soda huyoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
 


Haaaaahhhhaaah..! mbona ulimkatili mwenzako.? Mwenzio hapo alikuwa kabakisha pesa ya room wewe hukumsoma tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…