jamani wanaume natafuta mchumba wa kunioa mbona hamnipm?
Huyu hapa vipi je humtaki?jamani wanaume natafuta mchumba wa kunioa mbona hamnipm?
Mie mwanangu Madam s sijui kuwa kuna kiumbe kama wewe. Huwezi kutegemea watu wa kupm wakati wewe mwenyewe umeishajichokea. Vumilia utapata na hata ukikosa wewe si wa kwanza ila huna haja ya kujidhalilisha na kulalamika utadhani ni mwisho wa dunia mwanangu.
jamani wanaume natafuta mchumba wa kunioa mbona hamnipm?
jamani wanaume natafuta mchumba wa kunioa mbona hamnipm?