Wanaume mliolala na wadada wa kazi zenu mtujibu ili tuelewe

Kuna wanaume wana pewa equal treatment kujaliwa lakini ndo michepuko haiishi so kuchepuka ni umalaya tu hauhisiani na kujaliwa mapenzi hujengwa na wawili mi nikipata watoto kwa kweli mwanaume chepuka utakavyo utajiju babu eeeh
Kucheat ni tabia kama tabia tu wanajiliwa sana na wake zao lakini hawaliziki
 
we jamaa kama kuna kaukweli flani hiv!
 
Na wanakufa mapema kweli kabisa Mungu anawaona nikimwacha familia itahangaika ngoja tu aende na uzinzi wake maana aliyataka mwenyewe
 
Sasa kama harudi kwenye mstari, nifanyeje? Kwa nini nisitafute njia mbadala?
 
Ni bora mwenye hadhi anayejua kujali na kukojoza ni bora tu umpe yote akukojoze vzuri, ujue mwanamke anayejiheshimu hawezi toka na beki Tatu tena anajisifia ka si mjinga ni nini jamani eeeh bora tu umpe mwingine mwenye kujali mnaweza hata safiri naye nakula raha tena waweza kumpa hata ka zawadi ka mtoto huyo mume bwege aendelee na beki Tatu maana ndo hadhi yake
 
Wanawake ni wepesi sana kusamehe hata ukimuudhi sahizi lakini akibembelezwa na mzigo akapewa vizuri yanaisha lakini ubabe wa me kuna wengine mpaka wananunia wake zao hao ndiyi wanume wa kizazi hiki
 
Asomaye na aelewe
 
Hakuna cha talaka saangapi utajua tena mimba ikipatikana wala haitolewi tunazaa tu
Kuna alama za baba wa mtoto lazima nitazijua tu. Hapo hatua inayofuata ni DNA test, ndo utajua nani aliumbwa kwanza kati ya mwanamume na mwanamke.
Hapo ndo utajua kwa nini mwanamume ana sauti nzito kuliko mwanamke.[emoji124]
 
Sasa akuhudumie vepe wakati una mchepuko tena beki Tatu hyo si dharau bora na yeye atafte anaye mhonga naKumjali dawa ya moto ni motroo
 
Sasa mumeo hana hadhi tena, kwa haya maelezo sio kuwa inatakiwa wewe ujifinze wapi ulikosea mpaka yeye kufikia kuchepuka na beki 3?
 
Wewe unaona response zero maana hujui una muandaaje tena ukute una mubaka yeye ana muwaza mchepuko wake anaye mkojoza, hafu wanaume niwapeni siri ili mwanamke akuheshimu nakukupenda mkojoze sio kuchomeka na gumu. Sasa ukiona hivo naye anakipoozeo kinachomfikisha kileleni wewe endelea na beki Tatu
 
Na ukijua nawewe unaanza matumizi makubwa mpaka apate stress, kuna dada alijua mme anaenda kutana na mwanamke huko akakaa kimya alipo rudi moto ukawaka kumbe ile kwenda kabla ya lolote kaletea matatizo akamwambia siku nyingine nakukimbia sasa anajiongelesha yaani wanawake wengine bwana wanawazaga hela tu akamwambia kwani ulilazimishwa si uhudumie tu aibu tu
 
Sasa akuhudumie vepe wakati una mchepuko tena beki Tatu hyo si dharau bora na yeye atafte anaye mhonga naKumjali dawa ya moto ni motroo
Ina maana mpaka kufikia kuchepuka ulishindwa kuyafanya hayo,,,that will be too late aisee! Instead ya wewe kwenda nje kuchepuka ilibidi ukae nae uangalie ni namna gani unatafuta suluhu ya hilo lisijirudie. Mueleze madhara ya kutembea na beki tatu na uape kuwa hutarudia kuwa mzembe katika nafasi yako. Thus how a strong woman should be
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…