Wanaume mliolala na wadada wa kazi zenu mtujibu ili tuelewe

Wanaume mliolala na wadada wa kazi zenu mtujibu ili tuelewe

Kuna wanaume wana pewa equal treatment kujaliwa lakini ndo michepuko haiishi so kuchepuka ni umalaya tu hauhisiani na kujaliwa mapenzi hujengwa na wawili mi nikipata watoto kwa kweli mwanaume chepuka utakavyo utajiju babu eeeh
Kucheat ni tabia kama tabia tu wanajiliwa sana na wake zao lakini hawaliziki
 
Wanawake hua mna classses, yani akili ya mwanamke ina classes, akishakua na level flani hivi ya maisha basi hujiweka kwenye hiyo level.

Inapokuja swala la mwanamke, mwanaume hana class, awe beki tatu, awe waziri au rais wote ni wanawake, kinachowafanya kua hvyo sio vyeo vyenu bali ni kyuma.

Mwanaume hana class kwenye kyuma, kyuma zote ziko sawa. Ndio maana anaweza kua na mwanamke mzuri na mwenye hadhi kubwa ila akatafuna beki tatu ambae hana mbele wala nyuma.

Mshedede ukiamka hua hauangalii hii kyuma ni ya nani, iwe ya beki tatu au yoyote kikubwa iwe kyuma tu.

Nachojua beki tatu wengi bado wanakua wabichi, bado wana ladha fresh, bado misuli yao ya uke iko tight na mnato.

Sababu kubwa nyingone ni mahubiri ya Nabii wa Mwisho na Nabii wa kweli Nabii Tito.
we jamaa kama kuna kaukweli flani hiv!
 
Kwanini mwanaume anayechepuka asiombe talaka mapema ujue wanaume mnajitaftia maradhi ndo maana hufa mapema nakuacha wanawake michepuko mingi washirikina madawa sasa Mimi kwanini nihangaike na MTU mzima anayetaka kukidhi haja zake si bora kuhangaika na watoto wangu na furaha yangu
Na wanakufa mapema kweli kabisa Mungu anawaona nikimwacha familia itahangaika ngoja tu aende na uzinzi wake maana aliyataka mwenyewe
 
Sasa nyie mchepuke hafu mje mpewe papuchi tena simhamie tu huko mchepukoni ukijiheshimu lazima mkeo hakuheshimu ila nyie mnaonaga wake zenu ni wajinga hawajui kinachoendelea.
Ujue MTU akikosea.mwelekeze kwa upendo arudi mstarini sasa nyie chepukeni ufikiri urudi kwa mkeo atakuacha salama matokeo yake mnashindwa kujenga familia imara
Sasa kama harudi kwenye mstari, nifanyeje? Kwa nini nisitafute njia mbadala?
 
Hilo neno wake wanachukua wenye hadhi si kila siku wanakutana huko mtu anajiuliza yule bwege nyumbani ananisumbuq wakati huku anakutana na watu wamaana lenyewe midevu uso mzima hata mapenzi halijui tu kutwa usumbufu pesa yenyewe shida kwanini usinyimwe, mwanaume mwenye akili hawezi msifia beki 3 kuliko mkewe
Ni bora mwenye hadhi anayejua kujali na kukojoza ni bora tu umpe yote akukojoze vzuri, ujue mwanamke anayejiheshimu hawezi toka na beki Tatu tena anajisifia ka si mjinga ni nini jamani eeeh bora tu umpe mwingine mwenye kujali mnaweza hata safiri naye nakula raha tena waweza kumpa hata ka zawadi ka mtoto huyo mume bwege aendelee na beki Tatu maana ndo hadhi yake
 
Unajua ishu unayokumbana nayo wewe yaweza kuwa tofauti kidogo. Pengine mumeo ni mtu wa panic za kiduanzi na hapendi kujishusha pale anapokosea ila most cases wanawake huwa ni wakorofi in nature.

Mkipishana kidogo mume anajisusisha anamuuliza nini tatizo ke anajibu hamna kitu ila kakununia mwisho wa siku unaamua kumu ignore tu. Sasa mtu kama huyo unaanzaje kumuandaa kwenye sex? Cycle ya poor communication ndio inazaa kufa kwa hisia na usaliti mwishoni.

Kuhusu kuchepuka na bestfriend wa mumeo huo ni umalaya na nachoweza kukushauri ni kuwa andaa mazingira ya utapoenda baada ya kupigwa red card na mume maana haikwepeki.
Wanawake ni wepesi sana kusamehe hata ukimuudhi sahizi lakini akibembelezwa na mzigo akapewa vizuri yanaisha lakini ubabe wa me kuna wengine mpaka wananunia wake zao hao ndiyi wanume wa kizazi hiki
 
Kabisa yani Hawa wanaume wanatuonaga wanawake mazwazwaaa eti hatujui na kweli mtu anajisifia kuwa anachepuka na beki tatu 3 years alafu mke hajui looh kalagha bao wanawake tuna IQ kubwa kwenye kufikiria haya mambo na wala huwa hatuhitaji msaada wa technology cjui mobile tracker kama wanaume walivyo
Asomaye na aelewe
 
Hakuna cha talaka saangapi utajua tena mimba ikipatikana wala haitolewi tunazaa tu
Kuna alama za baba wa mtoto lazima nitazijua tu. Hapo hatua inayofuata ni DNA test, ndo utajua nani aliumbwa kwanza kati ya mwanamume na mwanamke.
Hapo ndo utajua kwa nini mwanamume ana sauti nzito kuliko mwanamke.[emoji124]
 
Na akili hii ndio imefanya ndoa nyingi ziende ICU yani. Ndoa ni swala la furaha aisee. Inapotokea mmoja wenu anaona kama anamfanyia favours mwenzake (selfishness) mitihani huanzia hapo. I think ile dhana ya committment ama kujitoa haipo tena katika ndoa za sikuhizi bali ni mashindano.

Nani mwenye wadhifa amkomoe mwenzake ndio style ya ndoa zetu za kileo. Hamna ile kuchukuliana kwa upendo kuwa mume wangu ananihitaji sahivi nijitahidi nimhudumie tu ata kimoja alale japo nimechoka. Sio kutoa jibu jepesi tu sa kama nimechoka nifanyeje na kumpa mgongo.
Sasa akuhudumie vepe wakati una mchepuko tena beki Tatu hyo si dharau bora na yeye atafte anaye mhonga naKumjali dawa ya moto ni motroo
 
Ni bora mwenye hadhi anayejua kujali na kukojoza ni bora tu umpe yote akukojoze vzuri, ujue mwanamke anayejiheshimu hawezi toka na beki Tatu tena anajisifia ka si mjinga ni nini jamani eeeh bora tu umpe mwingine mwenye kujali mnaweza hata safiri naye nakula raha tena waweza kumpa hata ka zawadi ka mtoto huyo mume bwege aendelee na beki Tatu maana ndo hadhi yake
Sasa mumeo hana hadhi tena, kwa haya maelezo sio kuwa inatakiwa wewe ujifinze wapi ulikosea mpaka yeye kufikia kuchepuka na beki 3?
 
Sasa unakuta mwanamke hutaki kuguswa kila sehemu, kunyonywa titi hutaki, kupapaswa hutaki, utasiki "usinuguse huko, titi zinauma, fanya haraka mie nilale nk..." halafu unataka uandaliwaje? ....
Halafu unakuwa kama gogo tu kitandani! Mwanamume anahangaika peke yake, mwanamke hata kushtuka hakuna. Mwanamume anavumilia wee mwishowe anaona upuuzi huu, hatimaye anatafuta alternative.

Mbona beki 3 ukimgusa tu, tayari kashakukumbatia na mambo mengine yanaendelea na hakuwekei mipaka?

Wanawake jirekebisheni ikiwezekana muitane mpeane semina. Maana wanawake wa dot com hata unyago humpitii. Sijui hata kwenye kitchen party huwa mnafundishwa nini?
Wewe unaona response zero maana hujui una muandaaje tena ukute una mubaka yeye ana muwaza mchepuko wake anaye mkojoza, hafu wanaume niwapeni siri ili mwanamke akuheshimu nakukupenda mkojoze sio kuchomeka na gumu. Sasa ukiona hivo naye anakipoozeo kinachomfikisha kileleni wewe endelea na beki Tatu
 
Hahaha umenikumbusha niliwahi ujua mchepuko wa Mr nilikua nakwambia ahakikishe anamchuna vizuri na yule binti alikua makini alikua anaomba ela hadi Mr akawa anatamani kabisa kusema lakin ataanzaje kuniambia na mim nlikua namwangalia tu ila sjui aliona matumizi yamezidi naona Mr akamwacha huyu bint
Na ukijua nawewe unaanza matumizi makubwa mpaka apate stress, kuna dada alijua mme anaenda kutana na mwanamke huko akakaa kimya alipo rudi moto ukawaka kumbe ile kwenda kabla ya lolote kaletea matatizo akamwambia siku nyingine nakukimbia sasa anajiongelesha yaani wanawake wengine bwana wanawazaga hela tu akamwambia kwani ulilazimishwa si uhudumie tu aibu tu
 
Sasa akuhudumie vepe wakati una mchepuko tena beki Tatu hyo si dharau bora na yeye atafte anaye mhonga naKumjali dawa ya moto ni motroo
Ina maana mpaka kufikia kuchepuka ulishindwa kuyafanya hayo,,,that will be too late aisee! Instead ya wewe kwenda nje kuchepuka ilibidi ukae nae uangalie ni namna gani unatafuta suluhu ya hilo lisijirudie. Mueleze madhara ya kutembea na beki tatu na uape kuwa hutarudia kuwa mzembe katika nafasi yako. Thus how a strong woman should be
 
Back
Top Bottom