Duh huyo atakuwa mtu wa I.T labda! Sie watu wa hospitality and tourism lazma tutalii maeneo mbali mbali mwilini kwako!Mke yupo nyumbani akirudi yupo busy na kazi zake badala akae na mke yupo laptop zake kuchat tu hata muda wakukaa na mkewe waongee mke apate joto la mme anawaza tu kesho achepukie wapi mke naye anahisia mwili unakufa ganzi
Njia mbadal kila upande zipoSasa kama harudi kwenye mstari, nifanyeje? Kwa nini nisitafute njia mbadala?
Watu na mauzoefu yenu!Hawana masharti,wao wanaongozwa
hawaongozi,Maana unakuta mtu umemuoa
lakini unapangiwa masharti utadhani umeolewa wewe.
Jeshini,si jeshini,mgambo si mgambo.
ilimradi tu kuwepo tafrani. Mara usiniguse hapo
usinishike hivyo,nk.
Kwa beki tatu hakuna msalagambo wa namna hiyo
Wanawake badilikeni,wanaume sio watu wa maneno
ni watu wa matendo.
Tahadhari usimjaribu beki tatu utapotelea huko.
Tena kwa moyo mweupe pee yeye na jasho za beki 3 anajisifia [emoji39] [emoji39] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Ni bora mwenye hadhi anayejua kujali na kukojoza ni bora tu umpe yote akukojoze vzuri, ujue mwanamke anayejiheshimu hawezi toka na beki Tatu tena anajisifia ka si mjinga ni nini jamani eeeh bora tu umpe mwingine mwenye kujali mnaweza hata safiri naye nakula raha tena waweza kumpa hata ka zawadi ka mtoto huyo mume bwege aendelee na beki Tatu maana ndo hadhi yake
Akili za kudanga ni za wanawake waliojikatia tamaa na maisha. Huwezi kuwa mke mwenye kujiheshimu ukaacha kuogopwa na mumeo kabisa. Umemkamata mume vizuri anaanzaje kuchepuka yani!Mwanaume akianza kuchepuka you will notice tu maana sisi ka walezi tunajua anaanza kujishtukia na tukishajua mapenzi yanakufa automatic na vile sisi huwa hatusemagi ka wanaume sasa ukikutana na danga linalojali wala hujisumbua mana kashakutoa ugwsndu wako na vile sisi tuki date na watofauti na mume huwa tunakusahau wewe wa ndoa nakujali kunaisha, sasa wenzetu wao ni kutangaza tu
Ndo na mwanamke usipokuwa na akili unaweza angamiza familia huna unachofanya ndo mana siku hizi hzi tabia zinafanya wanawake wafanye mambo yao kisiri siri kwa ajili ya watoto hata miradi acjue maana ukiendekeza watoto.hawaezi kuwa na future mama usiposimama, kuna mama mumewe alikuwa tajiri lakini michepuko ikafanya maendekeo yao yakawa duni mama naye wakawa wanashindana na michepuko kwa waganga mwishowe mwanaume akafa familia haina mbele wala nyuma, basi huyo mama huwa ananihusia ni fight tu vyovyote kwa ajili ya watoto, hafu huyo mume alivougua mchepuko ukamkimbia mke mkubwa ndo akamuuguza huku akiwa anajiharishia tu. Mi mwanaume anayeendekeza starehe bila kuweka familia mbele ni waku muignore tu aisee.Ndiyo yale mke kajenga nyumba si ajabu alikuwa anahangaika na kuhonga huko mke anaakili sana kujenga na kuishi humohumo yeye kutembeza bakora lake tu kama kifimbo cheza stress juu
Ndivyo walivyo kuna mmoja alisema ndiyo wenye akili lakini leo umejionea mwenyeweYaaaani Leo nimewajua Wanaume wa Jf.Kumbe ndivyo mlivyoooooo
Utashituka saangapi sauti kubwa hata wanawake wapo wenye sauti kubwa hata mbuzi sauti anayoKuna alama za baba wa mtoto lazima nitazijua tu. Hapo hatua inayofuata ni DNA test, ndo utajua nani aliumbwa kwanza kati ya mwanamume na mwanamke.
Hapo ndo utajua kwa nini mwanamume ana sauti nzito kuliko mwanamke.[emoji124]
Ngoja uolewe utayajua. .Mke yupo nyumbani akirudi yupo busy na kazi zake badala akae na mke yupo laptop zake kuchat tu hata muda wakukaa na mkewe waongee mke apate joto la mme anawaza tu kesho achepukie wapi mke naye anahisia mwili unakufa ganzi
Hafu ujue haya madawa ya uzazi hufanya mke kuwa na hormonal imbalance huko chini kunakuws kukavu hamna ute sasa wewe mume una mshauri ulaji ulio bora sio kumwacha nakukimbilia kuhangaika huko nje. Mahusiano hujengwa na wawiliHio kuchomeka chomeka inatokana na response ya mwanamke wako. Kama hatoi ushirikiano utavumilia na utamsema kwa muda ila later utachoka. Mwanamke ajishiki yani yupo tu dah. Unaamua ukujoe ulale tu *****.
Siwezi chukua wa hovyo hovyo naenda kuchukua ambaye hata yeye akimuona anarudi nyuma kwanza kujipangaSasa akuhudumie vepe wakati una mchepuko tena beki Tatu hyo si dharau bora na yeye atafte anaye mhonga naKumjali dawa ya moto ni motroo
Jibu:Kama title inavyosema,
Wanaume wengi siku hizi mlio kwenye ndoa mnaongoza kwa kulala na wadada wenu wa kazi.
Sasa tunaomba kujua hawa wadada wa kazi wananini mpaka mnafikia hatua ya kuwakosea heshima wake zenu kwa kulala nao tena ndani?
Na mnapokutwa kwanini hamuombi msamaha yakaisha ila mnageuza kibao kwa dada wa kazi na kusema hafai mtafute mwingine?
Nimekereka kweli na jirani yangu leo, jamaa anaonekana mstaarabu baba mtaani lakini kumbe ovyo.
Leo kafumaniwa na mkewe anatembea na dada wa kazi, kazini katoka mapema kwa kisingizio kuwa anaumwa wakati mkewe hajamwambia kama anajisikia vibaya na anarudi nyumbani.
Uko busy na beki 3 saangapi utawaza ya maanaSasa mumeo hana hadhi tena, kwa haya maelezo sio kuwa inatakiwa wewe ujifinze wapi ulikosea mpaka yeye kufikia kuchepuka na beki 3?
Sidhani kama unaweza muheshimu mume kwa akili hii. We utakuwa wale wanawake ambae una mume ila uridhiki una madanga pembeni. You can not be free while having multiple relationships aisee.Sasa hapo siunaanza kumpeti peti mbali hafu ujue mama akiwa na mtoto huchoka nakumsaidia kunahtaji sasa nyie huwa hamjali mi mwanaume akiniheshimu na mweshimu ila akijifanya anaendekeza ngono kwa kuchepuka ndo ameharibu maana actions zangu zaweza kumvuruga kabisa mana nitakuwa cjali,
Hahahhaaa stress na pressure zinawamaliza mapema mke unamuacha na marafiki zakoWewe unaona response zero maana hujui una muandaaje tena ukute una mubaka yeye ana muwaza mchepuko wake anaye mkojoza, hafu wanaume niwapeni siri ili mwanamke akuheshimu nakukupenda mkojoze sio kuchomeka na gumu. Sasa ukiona hivo naye anakipoozeo kinachomfikisha kileleni wewe endelea na beki Tatu
Yani nijifunze kwa kuota huo mda sina tena maana hujataka kuniambia solution yako ukakimbulia kuchepuka [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] sasa na Mimi kuna danga langu linanibembeleza nakunipa mafezwa pia kunirahishia mambo si bora nimtunuku tu yote kabisaSasa mumeo hana hadhi tena, kwa haya maelezo sio kuwa inatakiwa wewe ujifinze wapi ulikosea mpaka yeye kufikia kuchepuka na beki 3?
Hahahaha anapewa yote [emoji28] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hawa viumbe ndo huvuruga familia.ka kichwa cha nyumba wewe ufikirie dume linawaza ngono tu kuliko familia mi ka mke kwanini nihangaike naye wakati wanaume wa nje wanipenda nakunirahishia mambo yangu, huyo anayeniheshimu na mzalia hata kumbinukia kabisa walah yeye aendelee nakuchepuka loh
Sababu ni uvivu hamna kingine aisee.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sababu ipo muulize kunani my wife wangu mrembo utaambiwa shida iko wapi