Wanaume mliolala na wadada wa kazi zenu mtujibu ili tuelewe

Yaani mwanamke anipangie sehemu ya kumshika,labda sio Mimi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wakiishaolewa kwa ndoa
wanaona ile kuitwa "pingu za maisha"
ni sawa na zile pingu za polisi,
kwamba tayari umeishabanwa
mambo mengine si muhimu
maana umeishaingia king
kumbe watu wanaanza kutafuta
vilivyomo ndani ya hiyo king.
 
Yan ulivomaliza tito anakuona
 
mi sijuia kwanini sijawahi kuwatamani hawa wadada wa kazi sijui kwa nini yani ntakua na matatizo mimi wakuu au.. halaf ni wa hapo singidani yani watoto wazuri aisee lakin kwenye swala la hisia siinaga kabisa au mama tonny kanifanyia nini sijui
 
mi sijuia kwanini sijawahi kuwatamani hawa wadada wa kazi sijui kwa nini yani ntakua na matatizo mimi wakuu au.. halaf ni wa hapo singidani yani watoto wazuri aisee lakin kwenye swala la hisia siinaga kabisa au mama tonny kanifanyia nini sijui
Angekufanyia nini usingeweza kujiuliza
 
Nimekumbuka alikuja beki tatu kisu haswa, wife akamalizana nae nje akampa nauli arudi, hakutaka hata nimuone mimi nilikua ndani kumbe nipo dirishani natazama picha..
Wife Aliporudi ndani akaanza kunipa sababu za uongo ikabidi nimkubalie huku moyoni nacheka
 
Tatizo la mabeki tatu sio wachoyo.

Kuna mmoja nikiwa sekondary nilipiga mimi,binamu yangu, mjomba na mwisho nikastuka mzee nae kapiga.

Hawa viumbe ni hatari sana tukiwatumia vibaya kama anayo maradhi anaweza maliza familia zima

Tusishabikie ujinga.ukimwi upo pia homa ya inni
 
Duuh hapo mmoja kama ana maradhi familia nzima mmeshapata
 

Dhambi unajua ww
 
Duhh hadi mzeebaba[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…