Ningependekeza tusiwaite beki tatu kuanzia leo....tuanze kuwaita Makamu wa Mke. Maana Mungu anajua ni jinsi gani hawa viumbe wanavyosaidia kuokoa ndoa nyingi katika jamii. Unakuta Baba anarudi kazini mapema na hapendi kuzurura na kwenda kushinda kwenye mabar....sababu ni beki 3.
Heshima kwa mabeki tatu ulimwenguni kote. Arnold Schwarzenegger alitafuna mpaka akazaa na beki tatu wa nyumbani kwake.
Heshima kwa mabeki tatu ulimwenguni kote. Arnold Schwarzenegger alitafuna mpaka akazaa na beki tatu wa nyumbani kwake.