Wanaume mliolala na wadada wa kazi zenu mtujibu ili tuelewe

Wanaume mliolala na wadada wa kazi zenu mtujibu ili tuelewe

Ukiwa na beki tatu nyumban unajihakikishia kyuma ya uhakika any time


Ila sasa mkeee...... Matatiz tyy samtime akikupa Leo unaogopa kesho utamuombaje kwa mahana utaskia " we mwanamme uridhiki si nilikupa Jana au unazani Nina kyuma ya mazoezi
 
Dhuuuuu sometimes wanakuaga visu
Jmn mpaka kuwa vumilia. Inashindikana mtuhurumie tu
 
Anapiga picha jinsi mtoto alivyo binamu, mjomba mpaka mkuu wakaya eti kichwa cha familia anatadhinimi nani mkali[emoji23] [emoji23] [emoji23] kizazi za laana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Laaana kubwa sana hyo
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Laaana kubwa sana hyo
Wasipo jiangali itakuja jirudia tena katika hao hao, baba unavijana nyumban unakula beki 3 kweli? Huyo sizani kama mashemeji anaweza vumilia tu kwa kuwaona mmmm
 
Wanajiaminisha balaa wakati wakiwa makazini majirani humo, wauza sijui nini humo kama kuna mkata nyasi hapo naye anaponea humo duu
Ndo sasa mbadilike,mtu anakuoa siyo uje kupanga
mashariti,unaolewa kuja kuziba mapungufu ya mmeo
sasa kama huwezi ndo msaidi anasaidia vyote.
 
Wasipo jiangali itakuja jirudia tena katika hao hao, baba unavijana nyumban unakula beki 3 kweli? Huyo sizani kama mashemeji anaweza vumilia tu kwa kuwaona mmmm
Baba nae ana roho ati!! Yule beki tatu alikua anavo viwango vyote.Kasoro miguu tu ndo membamba.si unajua wanyiramba walivo warembo???.
Tulikua tunaishi nae kama dada yetu sio beki tatu.
So alikula akanenepa, akaoga akang'aa,Bi mkubwa mlokole tena.akampenda kama mwanae.wakienda sokoni wapi wapi anamnunulia nguo, anampeleka saloon pia kwa walokole wenzie anamtambulisha kama mtoto wa dadake.alikua na adabu sana na alimpenda sana.Mwishoe aliondoka na mimba....[emoji24] [emoji24] [emoji24]
 
Ndo sasa mbadilike,mtu anakuoa siyo uje kupanga
mashariti,unaolewa kuja kuziba mapungufu ya mmeo
sasa kama huwezi ndo msaidi anasaidia vyote.
Yaani sio woote wanao lala na back3 hawatimiziwi na wake zao bali nitabia kama tabia, unaweza mkuwa mke hana shida yeyote kila unapomuhitaji yupo tayari lakini kama kazoea kula hovyo hata kama kashiba atakula tu walau aonje wengine mpaka mashemeji, mbona wenyewe mkiwa hampo kwenye mood sio mke anavumilia?
 
Baba nae ana roho ati!! Yule beki tatu alikua anavo viwango vyote.Kasoro miguu tu ndo membamba.si unajua wanyiramba walivo warembo???.
Tulikua tunaishi nae kama dada yetu sio beki tatu.
So alikula akanenepa, akaoga akang'aa,Bi mkubwa mlokole tena.akampenda kama mwanae.wakienda sokoni wapi wapi anamnunulia nguo, anampeleka saloon pia kwa walokole wenzie anamtambulisha kama mtoto wa dadake.alikua na adabu sana na alimpenda sana.Mwishoe aliondoka na mimba....[emoji24] [emoji24] [emoji24]
Sasa hamuoni kama mlifanya kitu kibaya laa anamaradhi yakuambukiza si ukoo mzima mnaondoka sio kabisa na kwanini alivyokuwa anatambulishwa mngemchulia hivyo hivyo au mnapenda madada wakunyanyaswa na maboss zao
 
Nligundua masaa nakaribia kurudi kutoka job beki 3 huoga na kujipodoa ila mwenyemali ndo kwaaanza utakuta ana minguo alotoka nayo kazini.
 
Mkuu usisahau ndio viumbe wanaoshikaga mimba kwa kasi ya 4G+
Angepata mimba ndiyo kila kitu kingekuwa nje eheee mimba yanani nimelala na baba, kaka, binamu, namjomba hivyo sijui ya nani hivyo mtoto ni wahumu humu ndani
 
Back
Top Bottom