Wanaume mliolala na wadada wa kazi zenu mtujibu ili tuelewe

Wanaume mliolala na wadada wa kazi zenu mtujibu ili tuelewe

Ndiyo mke anaweza fanya yote mema lakini dhamani yake isionekane mwishowe moyo nao huchoka
Kukupenda nimekupenda, nikakuoa na kukutolea mahari, nikakujengea heshima kwenye ukoo wanu na kwenye jamii, nyumba nimejenga, pesa ya matumizi nakupatia kila siku, kila wiki unabadilisha aina ya msuko, nguo kila sikukuu nakununulia, wazazi na ndugu zako nawasaidia kifedha, hadi wengine nawalipia ada, mshahara wangu nimekuweka wazi hadi mamba ya siri ya ATM unaijua na huwa unakwenda kutoa pesa sometimes, simu yangu sijakuwekea password na ninakuruhusu kupokea simu yoyote kama niko mbali mf. bafuni, SMS ikiingia nakuambia isome ni nani katuma na anasemaje, nk....

Hivi unahitaji nikuthamini kiaje labda.?

Lkn wewe ikifika kwenye tendo la ndoa unaniletea mgomo, hamjui tu mnaudhi sana!
 
Mbona na nyie hukimbilia kuchepuka eti kisa mke umeshindwa kukaa naye kwa upendo umalize tatizo. Yani na ukiona mke kakimbilia danga umeliwa nyie wanaume huwa hampendi kutusoma wanawake ukimheshimu hata yeye ataona aibu sasa, wewe chepuka lazima ajue mlipizane uone Nani ataumia?
Hivi una mke anakuheshimu hachepuki wanaona mjinga sasa ngoja ubao ugeuke hapoa sasa
 
Kunguru huwa hafugiki sasa Mimi kuhangaika na acye jielewa cna huo mda mchafu aende tu kwa mchepuko
Atafugika sangapi saangapi kazoea kula mizoga ya kila aina hata umpe vinono lazima akaokote dampo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Sasa hio si mpaka mtu uwe na moyo wa kuvumilia huo upuuzi. Mi kama we ndio chanzo cha mie kuchepuka na nilishakukanya ila ukajitia nunda nakupa na karatasi kabisa ili ukaishi vyema na huyo danga wako.
Siwezi kulea mke wa hovyo mimi
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] taratibu
 
Kukupenda nimekupenda, nikakuoa na kukutolea mahari, nikakujengea heshima kwenye ukoo wanu na kwenye jamii, nyumba nimejenga, pesa ya matumizi nakupatia kila siku, kila wiki unabadilisha aina ya msuko, nguo kila sikukuu nakununulia, wazazi na ndugu zako nawasaidia kifedha, hadi wengine nawalipia ada, mshahara wangu nimekuweka wazi hadi mamba ya siri ya ATM unaijua na huwa unakwenda kutoa pesa sometimes, simu yangu sijakuwekea password na ninakuruhusu kupokea simu yoyote kama niko mbali mf. bafuni, SMS ikiingia nakuambia isome ni nani katuma na anasemaje, nk....

Hivi unahitaji nikuthamini kiaje labda.?

Lkn wewe ikifika kwenye tendo la ndoa unaniletea mgomo, hamjui tu mnaudhi sana!
Mke katoka kwao kakufuata wewe hakufuata vyotevhivyo umefuatwa wewe yote hayo ni nyongeza, ndiyo maana hanidhi hawaeza oa
 
Tena Mimi baba mtoto akifanya nampandisha beki Tatu hadhi ya mke wenza mana mume hanisumbui papuchi yangu namuwekea danga lingine lifaidi
Kwa raha zako naye akahangaike huko mbele
 
Mke katoka kwao kakufuata wewe hakufuata vyotevhivyo umefuatwa wewe yote hayo ni nyongeza, ndiyo maana hanidhi hawaeza oa
Amenifuata mimi kwa lengo gani, ikiwa kwenye tendo la ndoa analeta longo longo?
 
Hafu wakifaga mapema sijui kwanini wake zao hunawiri na kuwa na shavu dodo na huyo baba nadhani madawa ya uganga yalimuua, matokeo yake wanawe wamekuwa yatima au wakose ada bure
Mama naye anakazi sasa kilichofuata eti ndugu na mchepuko wanashirikiana wamfukuze kwenye nyumba naye kapambana mpaka mwisho
 
Mama naye anakazi sasa kilichofuata eti ndugu na mchepuko wanashirikiana wamfukuze kwenye nyumba naye kapambana mpaka mwisho
Ingebidi mke awakomeshe Mpaka wakome aisee
 
Kukupenda nimekupenda, nikakuoa na kukutolea mahari, nikakujengea heshima kwenye ukoo wanu na kwenye jamii, nyumba nimejenga, pesa ya matumizi nakupatia kila siku, kila wiki unabadilisha aina ya msuko, nguo kila sikukuu nakununulia, wazazi na ndugu zako nawasaidia kifedha, hadi wengine nawalipia ada, mshahara wangu nimekuweka wazi hadi mamba ya siri ya ATM unaijua na huwa unakwenda kutoa pesa sometimes, simu yangu sijakuwekea password na ninakuruhusu kupokea simu yoyote kama niko mbali mf. bafuni, SMS ikiingia nakuambia isome ni nani katuma na anasemaje, nk....

Hivi unahitaji nikuthamini kiaje labda.?

Lkn wewe ikifika kwenye tendo la ndoa unaniletea mgomo, hamjui tu mnaudhi sana!
Bora wewe ungekuwa mume wangu ningekuheshimu mwenzako hawajali wake zao hawawatunzi, wao ni kuchepuka kuanzia ndani na nje. Sasa hao lazima tuwanyooshe
 
Atafugika sangapi saangapi kazoea kula mizoga ya kila aina hata umpe vinono lazima akaokote dampo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tena walivo washenzi hadi na mdada wa kazi anaanza kuwa jeuri ujue huo ni upuuzi hafu eti uvumilie, umwache baby mwingine anayekujali kwa dhati loh
 
Amenifuata mimi kwa lengo gani, ikiwa kwenye tendo la ndoa analeta longo longo?
Wanakera sana kwa kweli, yaani nashindwaga kuelewa kwanini walioolewa wana longo longo sana kwenye kutoa mzigo, yaani masharti masharti tu, visingizio haviishi, mkitofautiana kidogo tu ndo kabisaa ushanyimwa duuh!!

Kuolewa wanapenda, kuhudumia mume mtihani, duuh kazi ipo!
 
Tena wamama wazamani walikuwa wa siri sana wengi walizaa nje ya ndoa na wababa hawakulijua hilo mpka mpaka wanakufa au wengi wamejua wakiwa watu wazima lakuamua hakuna
Wamama wa zamani walikuwa wanazaa watoto hata kumi wa mumewe halali ni watatu, tatizo wanaume huona wake zao wajinga kumbe twawachora tu
 
Bora wewe ungekuwa mume wangu ningekuheshimu mwenzako hawajali wake zao hawawatunzi, wao ni kuchepuka kuanzia ndani na nje. Sasa hao lazima tuwanyooshe
[emoji124] [emoji124][emoji124] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kujichosha haswa maana hawabebeki unaweza usiwe hata na house girl kila kitu mfanyie lakini anakuacha na kwenda kuhangaika huko
Kabisa hawa hawajali wake zao ulezi tu wawatoto ni kazi kubwa wao wajidai wajua umalaya
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] nilipata sikia mama analalamika yaani mme wangu nikuingia tuvnakutoka lakini michepuko kila kona, akaambiwa wale wanafuata pesa sio penzi wanalizishwa na wengine, mwingine eti haa yule nilienda kumridhisha tu maana nilishakula pesa zake vyakutosha kanipaka ushafu tu mie pesa tu piga pic mke ukisika hivyo aibu
Na wengi huwa wanawachezea michepuko kwa vidole tu nakuchunwa sasa imagine una limwanaume linaonga hovyo maendeleo yatakuja vipi mama usipo tafta means nyingine za maendeleo
 
Back
Top Bottom