Sasa baba mwenye nyumba wanae 4 wote kwa beki 3 mpaka na kaka wa mama mwenye nyumba huyo huyo ana vivulana vyake vya nje huko hii nyumba inaitwaje?ni kweli ndiyo maana some time unaweza ukaona ukimwiumekula nyumba nzima unajiuliza kwa ninkumbe house girl na house boy wameshafanya yao.
Visa tuSasa wewe badala ya kufuatilia tatizo nini unaishia kwenye vicheche sizani kama unaelewa maana ya ndoa nijuavyo ukiona hivyo inabidi ufanye uchunguzi huyu kunani yupo hivi wakati mwanzo hakuwa hivi haya hongera kwa fungu n ulilochagua
Embu fanya uchunguzi mtu mwenye hisia hawezi kuwa hivyo laa kuna kitu ulimfanyia basi hamu yako haipoVisa tu
Mkuu cku yangu umeichangamsha [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Nimemla beki tatu wangu zaidi ya miaka miwili hadi tumezoeana na wife ametumia njia zote za upelelezi lakini ameshindwa ila tatizo analo moja la wivu ana wivu balaa natamani hata wife afe ili nimuoe yeye kwa sababu sifa zote anazo hasa kwenye 6x6 huwa ninakakunja kanabaki kama tyre bajaji
Mmeo kazi anayo aisee du. Pole kwa kutongozwa lakini si lazima ukubali. Heshim mume wakoWewe wanaume wote ni walewale tena bora vijana sio Malaya ka waliooa, nyie mliooa ndo mnaongoza kutongoza tongoza hovyo hamjali hata afya, mkiona tu mrembo mwenye kalio hao, yani mi mijianaume yenye wake ndo hunitongoza sasa hyo yakusema mitandaoni si kweli.
Pia tatizo LA mwanamke kuongea hovyo sikumkalisha chini nakumwambia acha hivi.mi sipendi hafu pia kuhudhuria ibada lazima ujifunze tu. Nyie wanaume ndo hufanya wake zenu waanze maovu
Wadada wa kazi wana mbolea balaaa. Kuambiwa kuwa "Baba sizioni" ni jambo la kawaida saaaana.
Ukishindana na mume utaumia wewe. Ingawa napinga uzinzi wa aina yoyote.Yani wewe uchepuke ni sawa mwenzako akitaka wakumjali uumie [emoji2] [emoji2] [emoji2] mkuki kwa nguruwe
Hawa viumbe tunawahitahji sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Siku boss wa kiume akiwa mkali sana ofisini ww jaribu tu kumdodosa atakwambia mkewe amemzingua kwenye tendo. Hili tendo linaleta sana utulivu mkuu.
ExactlyWanaheshima/hawajibu jibu hovyo/hawakubinulii midomo/sio viburi/Na zaidi ya yote wanafanya 98% ya kazi za mke.....So inshort ni kama Mke tu kasoro pete. Maana hiyo 2% no papuchi ambayo pia mama mwenye nyumba hachelewi kukwambia nimechoka na kazi za ofisini subiri kesho n bla bla bla
Pole sana lakini tambua kwamba una nafasi kubwa ya kumuweka mwanaume awe kama wewe unavyotaka,hakuna mwanaume mkorofi kwa mwanamke mtiifu na mnyenyekevu,sasa wanawake wengi sana waliosoma wanashindwa kujishusha mbele ya waume zao,wanajidai wanatafuta haki kubishana na waume zaoHuwa inafika wakati natamani labda nisingesoma maana upeo wangu ni mkubwa hakuna sehemu Mr akacheat nisijue hadi najichukia maana stress zingine za hovyo tu
Mmhh!!! Kwani vibamia haviwafikishi kileleni???Wanaume wengi ni walalamishi ili kutafta kisingizio kuchepuka ujue kihisia wanawake huwa zinakuwa mbali inahtaji kusali na upendo sasa nyie ukute mnawaudhi yeye yuko kimya kachoka, pia huko kuwa kukavu madawa ya uzazi nayo yachangia, ukiona unamchoka mkeo humvumilii ujue hukumpenda vzuri, mbona sie huwavumilia na vibamia vyenu Ku papu hamjui, nyie wanaume jiheshimu aisee namkukue
Lakini nyie wanawake ndo chanzo cha matatizoHafu ndoa ni zaidi ya Ku do sasa ka mnawaza ngono mda wote maendeleo mnafikiria SAA ngapi maana ka ngono Ku solve kumewashinda ndo mambo mengine.
Hamna,ma house girl wana heshima sana,hata ukimuoa hawezi akakupindishia mdomo kama hawa wanawake wengine wakishaolewa wanajisahau kabisa wenyewe wanasema wameshatoa mkosiBasi muoe huyo beki tatu uone kama atakuwa vile vile, wale wanakuwa wanabembeleza kazi katoka huko maisha magumu akikunyima si atafukuzwa kazi, mbona wapo mabeki 3 ambao huwa umbua mababa msijipendelee kiasi hicho
Sasa hapo unajikomoa mwenywe,unamnyima papuchi mumeo unategemea nini,mimi mwanamke ananyime papuchi labda sio mimiHii mada INA wanaume wapumbavu ndo maana wake wanawanyima papuchi wanaenda kugawa nje wewe wachepuka na beki Tatu wafikiria.mke hajui kumbe anajua naye anakipoozeo kinacho mhonga sasa kwanini ajichoshe na wewe wakati hisia zimeshakufa yani, ukiona mwanamke anakunyima ujue hisia Hanna lbora muendelee kula beki Tatu na yeye anaye mwingine mwenye hadhi kuliko wewe baba mjengo
Hahaa!!! Utafikiri hizo mbegu alijipandikizia mwenyeweWatoto ila baba nae si sehemu ya watoto wako?
Mwanamke mpumbavu huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe,wewe hapo mmojawapoMimi sio pumbavu ila nyie waume ndo huanza kuharibu nyumba ujue mapenzi ni hisia wewe unanikwanza hujaniandaa unataka ngono na nyie wanaume huwa rahisi kusahau maudhi yenu kwetu nyege zikiwapanda unataka nikupe tu si bora uende tu kwa huyo beki Tatu maana ndo solution na Mimi nitafta mwingine maana mume kuchepuka hakupendi sasa ili Ku neutralize hali dawa nikutafta na wewe wakukupunguzia machungu na nyie mubaki na beki Tatu. Hafu nyie mwataka kuchepuka wake zenu wakichepuka mwawa wakali. Mi baby wangu akichepuka mi ni date marafiki zake hadharani tuone[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]