Wanaume mliolala na wadada wa kazi zenu mtujibu ili tuelewe

ni kweli ndiyo maana some time unaweza ukaona ukimwiumekula nyumba nzima unajiuliza kwa ninkumbe house girl na house boy wameshafanya yao.
Sasa baba mwenye nyumba wanae 4 wote kwa beki 3 mpaka na kaka wa mama mwenye nyumba huyo huyo ana vivulana vyake vya nje huko hii nyumba inaitwaje?
 
Wanaume wengi tukikaa sana na mwanamke tunamuona nje nje tunatamani tuonje na ndani kupoje,si mdada wa kazi tu hata ukimleta ndugu yako kazi ile ile
 
Sasa wewe badala ya kufuatilia tatizo nini unaishia kwenye vicheche sizani kama unaelewa maana ya ndoa nijuavyo ukiona hivyo inabidi ufanye uchunguzi huyu kunani yupo hivi wakati mwanzo hakuwa hivi haya hongera kwa fungu n ulilochagua
Visa tu
 
Kama hana ham nanmm ana ham na nani, ujue mapenzi ni hisia na hisia ni vitu vya ndani ya moyo, huwezi kutengeneza hisia za mapenzi za mtu mwingine. So bora unakaa kimya mpaka ajishtukie mwenyewe. Ukiona umeshindwa kabisa basi wanawake ni wengi wana shida ya ndoa, either unaoa mke wa 2 ama la akishindwa basi anakaa kando unaoa anayeweza kukupa 24/7
 
Mkuu cku yangu umeichangamsha [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Mmeo kazi anayo aisee du. Pole kwa kutongozwa lakini si lazima ukubali. Heshim mume wako
 
Yani wewe uchepuke ni sawa mwenzako akitaka wakumjali uumie [emoji2] [emoji2] [emoji2] mkuki kwa nguruwe
Ukishindana na mume utaumia wewe. Ingawa napinga uzinzi wa aina yoyote.
 
Beki tatu knows what the man want, and wife concentrate on what the man need. Always a man focus on short term goals and not a need
 
Siku boss wa kiume akiwa mkali sana ofisini ww jaribu tu kumdodosa atakwambia mkewe amemzingua kwenye tendo. Hili tendo linaleta sana utulivu mkuu.
Hawa viumbe tunawahitahji sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Reactions: mij
Exactly
 
Huwa inafika wakati natamani labda nisingesoma maana upeo wangu ni mkubwa hakuna sehemu Mr akacheat nisijue hadi najichukia maana stress zingine za hovyo tu
Pole sana lakini tambua kwamba una nafasi kubwa ya kumuweka mwanaume awe kama wewe unavyotaka,hakuna mwanaume mkorofi kwa mwanamke mtiifu na mnyenyekevu,sasa wanawake wengi sana waliosoma wanashindwa kujishusha mbele ya waume zao,wanajidai wanatafuta haki kubishana na waume zao
 
Mmhh!!! Kwani vibamia haviwafikishi kileleni???
 
Basi muoe huyo beki tatu uone kama atakuwa vile vile, wale wanakuwa wanabembeleza kazi katoka huko maisha magumu akikunyima si atafukuzwa kazi, mbona wapo mabeki 3 ambao huwa umbua mababa msijipendelee kiasi hicho
Hamna,ma house girl wana heshima sana,hata ukimuoa hawezi akakupindishia mdomo kama hawa wanawake wengine wakishaolewa wanajisahau kabisa wenyewe wanasema wameshatoa mkosi
 
Sasa hapo unajikomoa mwenywe,unamnyima papuchi mumeo unategemea nini,mimi mwanamke ananyime papuchi labda sio mimi
 
Mwanamke mpumbavu huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe,wewe hapo mmojawapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…