Wanaume mliolala na wadada wa kazi zenu mtujibu ili tuelewe

Wanaume mliolala na wadada wa kazi zenu mtujibu ili tuelewe

Uvivu utoke wapi, kashinda na watoto nyumba kaingalia vizuri umekula umefanyiwa vitu vinavyotakiwa kwanini usiende naye taratibu! Hivi wewe usipokuwa vizuri anaweza kukulazimisha na uka perfom vizuri geuza uwe wewe halafu yeye aende kubanjuka wewe unajisikia vipi, neno lenyewe lasema msinyimane na muwe na kiasi ili mpate muda wa kumtafuta Mungu
Nyumba ina beki 3 asilimia 90% ya kazi anazifanya yeye. Huko kuchoka kiasi hicho kunatoka wapi. Na kwa wale wa kuzingatia afya huwa tunaweka kimoja cha mkwezi siku 3 ndani ya week. Ratio ni leo hadi keshokutwa huyo mama wa hivi anachoka nini sasa kama si kujiendekeza tu.
 
Hawana masharti,wao wanaongozwa
hawaongozi,Maana unakuta mtu umemuoa
lakini unapangiwa masharti utadhani umeolewa wewe.
Jeshini,si jeshini,mgambo si mgambo.
ilimradi tu kuwepo tafrani. Mara usiniguse hapo
usinishike hivyo,nk.
Kwa beki tatu hakuna msalagambo wa namna hiyo
Wanawake badilikeni,wanaume sio watu wa maneno
ni watu wa matendo.
Tahadhari usimjaribu beki tatu utapotelea huko.
Aiyeeee!!
 
Hata kama ni mke unaweza ukafanya hivyo mfano kuna watoto baba ukirudi watoto wanakupokea mpaka chumbani mnaingia nao utafanya nini hapo na mkeo, laa mpigie simu mkeo nakuja nikute hapo safi mama hawezi shindwa kujipanga lakini unarudimakili zote unamuaza beki3 nyumban3 tusilaum upande mmoja hapo kuna kitu kina kosekanika mawasiliano ni mdogo sana kati ya mme na mke
Hamna cha lawama, kwanza hivyo si ndio inavyotakiwa iwe ila utakuta mke ukimwabia kabla ukifika unakuta kashavuta mdomo. Dizaini kama anakufanyia favour ila hukustahili vile. Kingine suprise ni nzuri zaidi kwanini uombe gemu kama unaomba visa ya marekani?
Kama unakuwa eveready beki3 wa nini, wala mzee hatokuwa na time nae.
 
Na je wale wanaume wanao cheat hovyo mpaka na mabeki 3 bila sababu wakati wake zao hawana shida yeyote wanatimiza majukumu yao kama kawaida? Ndiyo hapo linapokuja swala heshima ni kuheshimiana pande zote ili ndoa zidumu
Hao walaaniwe tu. Mie mke anaenipenda na kunipa penzi bila kero sikawilii kumnunulia private jet kama ya mayweather akawatambie shoga zake.
 
Acha kulalanika hovyo, sababu ni ninyi wanawake wenyewe mlioolewa. Mfana mimi binafsi, nikikurupuka ile kumi na mija kamiki, dadaa keshaamka na kuanza usafi, maji ya kuoga kashanitengea wife kalala, nimirudi jioni akiniona tu anatenga maji ya kuoga, wife pengine yupo jikoni au pengine pasipo na umuhimu kunizidi, chakula kikiwa tayari dadaa akinitengea na kunikaribisha juu, wife yeye huita tu mtoto, chukua chakula mpelekee babaa, nikimaliza kula, dada anatoa vyombo fasta na kuniletea maji ya kunywa na kunawa, wife yupo tu. Sasa najiuluza je huyu dadaa ndio akitakiwa kuwa wife? Mahaba yanajijenga mdogomdogo, hata kama ni kabaya lakini ile care yake inanivutia, inabidi nimlipe fadhila tu basi afurahi na yeye.
 
Ufanye ya hovyo ukitegemea mke atavumilia uchafu wa mme kama hajitambui sawa lakini kama anaijua dhamani yake sizani
Sasa sababu ya mume kuchepuka ni wewe kumpa papuchi kwa kipimo, ukijiskia unampa usipojiskia humjali unona potelea pote. Utaanzaje kumlaumu mme wa hivyo akitafta suluhu nje.

Mama zetu walikomalia hio sekta wakakaba vilivyo hata kama wazee wetu walichepuka ila haikuwa rahisi kama zama za sasa. Mke hakupi sababu ya kwenda nje yani unajikuta unatulia tuli.

Ila nyie kuendekeza tabia mbovu ndio mnawapa sababu wanaume kuchepuka halafu mnalalamika ikiwa hamtimizi wajibu wenu vizuri. To make it worse eti nawewe unachepuka ili umkomeshe mume! Seriously?!
 
Ndiyo maana siku mnafungishwa huanza utaishi naye kwa shida na raha, hawaanzi kwa raha na shida, mawasiliano ndiyo kitu muhimu
Kwahio justification ya shida ni kuninyima unyumba sio na kunipa anapojiskia. Mtu haumwi wala nini ila analeta utoto kwenye swala la msingi? Hio wala usitetee mjirekebishe tu aisee.
 
Nani kwambia kama hujui basi kaa vizuri na mkeo mmoja alisemaje ukitoka huko ukirudi nyumbani ni mapambio kwa kwenda mbele baba unarudi unajua huyu si ndiye wakusalitiwa kumbe ngoma droo
Wewe nakupa nafasi kaa nami penzini ila the moment umeanza chepuka ntakwambia ukweli tu mbona. Na ntajua tu hadi utabaki taya wazi
 
Uvumilivu na ukubwa si umri ni busara usilo penda kufanyiwa usimfanyie mwenzio
Mie sikufanyii ila timiza wajibu wako basi, mbona hapo hampaangaliii mmekomalia kisasi tu. Uvivu wako utam trigger mumeo aanze usaliti hata kama hakuwahi na hapendi!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] si ndiyo mnakuwa wakali jamani wewe mwanamke unagubu nimechoka sasa yakitufika shingoni tuna waangalia tu
Mmh huyo sio mwanaume sasa, ni goi goi hebu tutafutane nikuelekeze cha kufanya.
 
Sio kuzingua mi ka mwanamke nasema ukweli ambao huwa tunaongea wanawake tukiwa pekee had kupeleka wenzetu sehemu ya kuwafanya muwe wajinga
Ila nashauri usichepukege bhana, ni heri ukaomba divorce ili uwe na uhuru wa kuruka na madanga jinsi utakavyo
 
Kuna dada alikuwa analia mme kafika kapokewa vizuri kala kashiba sms toka kwa kahaba nipo free tunaweza onana kaondoka kaenda huko wakati hawana ugomvi na mkewe unategemea nini hapo utakuta mke mrembo anaweza bebwa na mtu yeyote anakuvumilia na ugoigoi wako naye akichepuka utasema nini alipoulizwa maneno machafu kwa mkewe bila hata kutumia busara yeyote
Huyo dada mpe namba zangu tufarijiane sasa
 
Na nyie ka mliona hamuwezi acha umalaya kwanini ulioa sasa nakibamia chako kujifanya kidume cha mbengu vepee hafu hyo michepuko ndo huwatangaza yule nimemloga na kibamia chake
Hadithi hizi za kijiba cha roho,acha wanaume tule papuchi na ww ukiona vipi chepuka ila ukifumwa ujue ni redcard uzuri mwanaume ndo refa
 
Yani nyie mtukongoroshe kwa kuwazalia bado mtuone hatufai, miili yetu tuharibu shape zetu na nyonyo zetu kuwanyonyesha nyie na midevu yenu ka Osama kuwanyonyesha, na wanetu, tuwapikie tuwafanyie yote bado mtuone hatufai, pia sikuhizi pia wanawake nao hufanya kazi mbona tena wengine wamewazidi wanaume vipato
Thamani yenu ya kuwa mke iko palepale lakini thamani yenu kimshaba inapungua saaana sasa mwanaume gani atabakia hapo isiposimama je,kuchepuka ni starter afu sasa kuna kukinai
 
Tena walivo washenzi hadi na mdada wa kazi anaanza kuwa jeuri ujue huo ni upuuzi hafu eti uvumilie, umwache baby mwingine anayekujali kwa dhati loh
Mwanaume yupi anayekujali kwa dhati,hujui usemalo ww
Shika hii itakussidia,kadiri mwanaume anavyozoea papuchi thamani yako inapungua macho yanaangalia mpya ni kinyume na nyie dudu zetu hazijawahi depreciate
 
Back
Top Bottom