Kwahiyo yupo kama kisiwani vile siku akijua ndugu wote mtachukiwa, ila vibaya tuombe uzima sasa mambo yanharibika ndiyo maelezo yanaanza sasa mtoto si anakosa penzi la baba jamani? Bora ajue aumie yaishe mtoto awe huruIlitokea kwa housegirl wa uncle. Uncle katia mimba akabambikwa mtu flani ila Ukweli ni mtoto ni wa uncle na ukoo Wote unajua kasoro shangazi tu. Siku akijua yule mdada hapatakalika
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Atakua uncle sugu huyo...
Duu hatari beki 3 apate mimba ndani kwangu lazima maelezo ya kutosha hivi hivi no lazima nikubali huyu ni zao la huyu huyuHajui chochote na ana mke wake.. ameapa Miungu yote kwamba hakuwahi hata kumtongoza. Katoto sasa kana miaka kama minne plus ...mjomba anahudumia kisiri mke asigundue.
Hilo kweli kwanza yule asiyekuwa na mpango naye kwanza mkipishana hana muda labda pembeni huko atakwambia lakini macho jujuu kwenye ugomvi wa jikoni tambua tayari mke mwenza huyuNa ukishaona mwanaume anakuwa so concerned na mabeki tatu tena anamtetea mbele ya mazahous basi lazima mwanamke akili zikucheze. Mme mwenye Hekima zake atakushauri chemba hukooo kama unamtreat vibaya beki au kama kuna maboresho.
Yaani asipojiongeza atakosa kila kitu, kosa wafanye wazazi mhanga atakuwa mtotoSasa hapo Unle akidanja (Mungu aepushie mbali) mtoto ndio atakuwa muhanga.
Ni bora Mama ahakikishe haki za mwanae zipo kwa ajili ya leo na kesho.
Duh??? Kwahiyo adam na eve hawakua na akili? Waliopewa amri ya kuijaza dunia. Alielala na mwanamke hadi ukapatikana wewe je???????Hana akili mtu alalaye na Mwanamke
Full stop.
Mkuu hapa kinacho ongelewa si kulala kitanda kimoja au usingiziDuh??? Kwahiyo adam na eve hawakua na akili? Waliopewa amri ya kuijaza dunia. Alielala na mwanamke hadi ukapatikana wewe je???????
Wewe ndio hujaweka maelezo yako vizuri. Labda ungesema "hana akili aziniye na mwanamke"Mkuu hapa kinacho ongelewa si kulala kitanda kimoja au usingizi
Haya ni maneno ya Biblia
"Hana akili mtu alalaye(aziniye) na mwanamke"
yanayo maanisha
"Uzinzi"
Sasa tafuta kamusi uangalie maana ua
Uzinzi na
Uasherati
Wewe ukilala na mkeo si uzinzi cause ni mkeo halali wa ndoa......
Sasa Adam na Eve sijui ulimaanisha nini nimeshindwa kukuelewa
Yaaa think ur rightWewe ndio hujaweka maelezo yako vizuri. Labda ungesema "hana akili aziniye na mwanamke"
Kula likeYaaa think ur right
Translation zina differ Bible zingine zimetumia "alalaye" na nyingine "aziniye"
Baby tofauti na unayeishi nae au ndo kujilazimisha tu kujifariji,Si ndo umpe vzuri tena mi mdada napenda ujpozee huku mie papuchi naihifadhi kwa baby wangu anayenifikisha kileleni
Mimi hayo sina sina mda wa kuwa za mwanamke ila pesa but nikikufuma najutumia by the way nawashangaa wenye mke mjaSisi tunajiamini kabisa and as nature sisi hata tukihudhuria ibada tunatoa ya mioyoni sasa nyie mwajifanya vidume mwachepuka, huku mke akichepuka mnazidisha mawazo mwishowe mwashikwa na pressure, Mara magonjwa yra moyo mwisho MNA R. I. P
Good enough hakuna mwanaume spesho,ukichokwa utatemwa kama kawa,ila mnawakuta hao hao hadi uzae hajajua,mm mtoto lazima afanane na mm,hadithi za sijui Mungu does not applySasa na sisi si ndo tunatfta kidumu lingine na kukizalia kabisa tena tunakua nao had watano and we have nothing to loose or feel jealous coz sisi huhamisha hisia hata wivu una kuwa hamna
Najua naxhokifanya hadi afanane na Mimi sibahatishi,by the way ukoo wetu tunadamu Kali hakuna mwanamke amezaa mtoto wa tofauti na sisi,hata mama zetu wameshindwa kucheat,sina cha kuomba hapoHajaaaaaa mtoto mwingine anafanana na mamake copy and paste sasa hapo unafanyaje unafikiri [emoji2] [emoji2] [emoji2] omba yasikukute ndugu yangu
Ahahahaa....Makamu MkeNingependekeza tusiwaite beki tatu kuanzia leo....tuanze kuwaita Makamu wa Mke. Maana Mungu anajua ni jinsi gani hawa viumbe wanavyosaidia kuokoa ndoa nyingi katika jamii. Unakuta Baba anarudi kazini mapema na hapendi kuzurura na kwenda kushinda kwenye mabar....sababu ni beki 3.
Heshima kwa mabeki tatu ulimwenguni kote. Arnold Schwarzenegger alitafuna mpaka akazaa na beki tatu wa nyumbani kwake.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] sasa ndo utaletewa na una kuwa kimyaNajua naxhokifanya hadi afanane na Mimi sibahatishi,by the way ukoo wetu tunadamu Kali hakuna mwanamke amezaa mtoto wa tofauti na sisi,hata mama zetu wameshindwa kucheat,sina cha kuomba hapo
[emoji2] [emoji2] [emoji2] baby kipoozeoBaby tofauti na unayeishi nae au ndo kujilazimisha tu kujifariji,