[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] mchepuko ukiwa nao huna haja yakuuonea wivu ukiwa kwa wife yeye abaki na Nani hafu michepuko huwa haina upendo labda tuko hotelini wife ake apiga unafikiri mchepuko hujiskiaje, kazi ya mchepuko nikuchuna tu shida kwa mkeweMkuu hujatujua wanawake vizuri kaa utusome sawa sawa hizo ni drama unachezewa tu
Umeeona hafu unakuwa busy humjali ukiona tu karudi nakujinyenyekeza ujue kaumizwa raha nzuri niyakujipa mwenyewe hamna wakukupa faraja ila wewe tuNa ndo wakome mi mwanaume akitendwa na mchepuko wake alafu nikajua nacheka kimya kimya na kumfanyia kusudii juu
Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
Wanaume hawajiongezagi[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] mchepuko ukiwa nao huna haja yakuuonea wivu ukiwa kwa wife yeye abaki na Nani hafu michepuko huwa haina upendo labda tuko hotelini wife ake apiga unafikiri mchepuko hujiskiaje, kazi ya mchepuko nikuchuna tu shida kwa mkewe
Huo mda angejenga na mkewe angekuwa na amani tele aisee sasa mwanaume ana mambo mengi bado na ya mahusiano kwanini usipate depression aisee. Bora wanawake huwezi Ku control hayo mambo kwa mwanaume ni ngumuWanaume hawajiongezagi
Mke kitu gani bwana. Nawambieni mke ni kwenye honeymon ikiisha ni shida tu. Jeuri, kaidi asiyejaliHuo mda angejenga na mkewe angekuwa na amani tele aisee sasa mwanaume ana mambo mengi bado na ya mahusiano kwanini usipate depression aisee. Bora wanawake huwezi Ku control hayo mambo kwa mwanaume ni ngumu
Mkuu pole kwa maumivu ya kuchitiwa na mchepuko create ur own happiness[emoji2]Mke kitu gani bwana. Nawambieni mke ni kwenye honeymon ikiisha ni shida tu. Jeuri, kaidi asiyejali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mke wako ajiaminiNimekumbuka alikuja beki tatu kisu haswa, wife akamalizana nae nje akampa nauli arudi, hakutaka hata nimuone mimi nilikua ndani kumbe nipo dirishani natazama picha..
Wife Aliporudi ndani akaanza kunipa sababu za uongo ikabidi nimkubalie huku moyoni nacheka
Ulipotelea wapi bibieHebu dadavua vzuri basi
Mie nipo nimejaa tele ka pish la ubwabwaUlipotelea wapi bibie
Hongera,kujib post yako ni kwamba busara ni kuongea pm tuMie nipo nimejaa tele ka pish la ubwabwa
Hongera sana [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamani tuliwambia tulieni na wake zenu hao wanatulia na kuwa na adabu kwasabu anajua hiyo ndiyo kazi yake kama wewe unavyoheshimu kazi yako unaona? Akija na mwingine naye unachukua ? Si ajabu hapo alipokuwa kwako alikuwa na mtu mwingine ongeeni na wake zenu unajipa stress bure rudi kwa mkeo, washauri wenzio wapenda beki 3 [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji28] [emoji28]Guys natumai mu bukheri wa afya njema. Weekend nliwaaga naenda kutana na mpenzi wangu, ambaye alikuwa beki3 wangu. As I told you before huyu mtoto ni mzuri sana. Na aliletwa kwangu kufanya kazi ikiwa ninsehem ya kumresque na baba yake mzazi ambaye alikuwa anamtongoza.
Kama kawaida aliaga kwao kuwa anaenda kutafuta chuo cha kusomea cherehani, na nlikuwa nimemwambia akipata nitalipa ada nangharama zingine zote. Basi nikamchukulia form na kwa vile mpango ulikuwa umeshaandaliwa mm nlikuwa nishapiga simu na form ninayo mkononi. So nlikaa naye siku 2 hotelini najilia tu vitu adimu. In short nlienjoy sana. Pia kwa vile tulipotezana kwa takriban mwezi hivi bila mawasiliano kwani hapa kwangu ilikuwa marafuku kukaa na simu coz hapo nyuma nlimpa simu akawa na matumizi sio mazuri nikamnyanganya, basi nikawa nimemchukulia smartphone nzuri ya laki moja hivi kama zawadi kwa kuendelea kunitunuku tunda lake. Tumemaliza yetu tukapanda bus kurudi tukiwa na furaha tu. Jana nimempigia simi saa tatu nikakuta simu bize, saa tatu na dk15 bize,23:30 bize,23:45 bize,22:00 bize, 22:20 bize. Nikazima simu nikalala.nikaacha sms unaongea na simu all the time saa nzima na nusu unaongea biashara gani usiku wote huu. Na unaongea na nani. Sikujibiwa.asubuhi nimempigia simu nikamuuliza kasema simu ilikuwa chaj. Hivi ninavyoongea ndo nimemaliza kublacklist namba zake, na kuzifuta kabisa. Sijamwambia kitu
Ndiyo nimemuona Jini Kisirani,nimecheka kweli na beki 3 watu majanga[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] sasa wewe unaumia na mchepuko ili nini kwanza kumchunga ni kumchakaza wewe ukiwa na mkeo unafikiri yeye huwa na Nani hapo yeye kakuroga bwege lake umuwezeshe tu kufika mahali, sipati picha ulivo na stress watamani kumwambia mke wako
Kama yule mchepuko ulidedi kulia anashindwa mbele ya mkewe anahangaika kama kuku wa kienyeji anatafuta sehemu ya kutagia [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahaha mkuu una utani wa ngumi assee na ukitaka kujua mwanaume ana stress kiasi gani agombane na mchepuko wake
Anaongea tu lakini anaumia sana basi kajikaza kisabuni hahaha [emoji28] [emoji28] [emoji28]Na ndo wakome mi mwanaume akitendwa na mchepuko wake alafu nikajua nacheka kimya kimya na kumfanyia kusudii juu
Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
Wajiongeza kwenye kichwa cha pili [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wanaume hawajiongezagi
Hakuna cha kujiamini hapo kinga ni bora kuliko tiba eeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mke wako ajiamini
Amna lolotee kama angekuwa anajikubali wala asingemrudishaa[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]Hakuna cha kujiamini hapo kinga ni bora kuliko tiba eeee
Yaani kumrudisha kule sio kutojiamini anajua tabia ya mmewe ilivyoAmna lolotee kama angekuwa anajikubali wala asingemrudishaa[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]
Aaaa labda ivyoo...Yaani kumrudisha kule sio kutojiamini anajua tabia ya mmewe ilivyo