Wanaume mliolala na wadada wa kazi zenu mtujibu ili tuelewe

Mkuu hujatujua wanawake vizuri kaa utusome sawa sawa hizo ni drama unachezewa tu
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] mchepuko ukiwa nao huna haja yakuuonea wivu ukiwa kwa wife yeye abaki na Nani hafu michepuko huwa haina upendo labda tuko hotelini wife ake apiga unafikiri mchepuko hujiskiaje, kazi ya mchepuko nikuchuna tu shida kwa mkewe
 
Na ndo wakome mi mwanaume akitendwa na mchepuko wake alafu nikajua nacheka kimya kimya na kumfanyia kusudii juu

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
Umeeona hafu unakuwa busy humjali ukiona tu karudi nakujinyenyekeza ujue kaumizwa raha nzuri niyakujipa mwenyewe hamna wakukupa faraja ila wewe tu
 
Wanaume hawajiongezagi
 
Wanaume hawajiongezagi
Huo mda angejenga na mkewe angekuwa na amani tele aisee sasa mwanaume ana mambo mengi bado na ya mahusiano kwanini usipate depression aisee. Bora wanawake huwezi Ku control hayo mambo kwa mwanaume ni ngumu
 
Huo mda angejenga na mkewe angekuwa na amani tele aisee sasa mwanaume ana mambo mengi bado na ya mahusiano kwanini usipate depression aisee. Bora wanawake huwezi Ku control hayo mambo kwa mwanaume ni ngumu
Mke kitu gani bwana. Nawambieni mke ni kwenye honeymon ikiisha ni shida tu. Jeuri, kaidi asiyejali
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mke wako ajiamini
 
Mchepuko kacheat saiz anahangaika kutaka kunirejesha so hiyo haijaniumiza kivile
 
Hongera sana [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamani tuliwambia tulieni na wake zenu hao wanatulia na kuwa na adabu kwasabu anajua hiyo ndiyo kazi yake kama wewe unavyoheshimu kazi yako unaona? Akija na mwingine naye unachukua ? Si ajabu hapo alipokuwa kwako alikuwa na mtu mwingine ongeeni na wake zenu unajipa stress bure rudi kwa mkeo, washauri wenzio wapenda beki 3 [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji28] [emoji28]
 
Ndiyo nimemuona Jini Kisirani,nimecheka kweli na beki 3 watu majanga
 
Hahaha mkuu una utani wa ngumi assee na ukitaka kujua mwanaume ana stress kiasi gani agombane na mchepuko wake
Kama yule mchepuko ulidedi kulia anashindwa mbele ya mkewe anahangaika kama kuku wa kienyeji anatafuta sehemu ya kutagia [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…