Wanaume mliolala na wadada wa kazi zenu mtujibu ili tuelewe

Tunawatesa mabeki tatu sana jamani, yani unakuta mama mwenye nyumba akiona mume wake anakatetea kabeki3 basi anakua anamtesa sana ni basi huwa wanatia huruma sana, halafu bado unakuta baba anakamua mbaya tena anaomba muda wowote pia huwa anaomba kwa kumtishia ukininyima nakufukuza... Hii dhambi ya kuwanyanyasa mabeki3 Mungu anawaona
 
Wala usimshangae mwanamume, yawezekana mke wake ndo kasababisha kwa sababu ya uchoyo wake. Maana na ninyi wanawake siku hizi mmezidi mno uchoyo. Yaani unamnyima mumeo wa ndoa unategemea nini? Wakati wenye nazo wako wengi tu, tena wengine hawasumbui hata kidogo.
 
Upo sawa hapo,tatizo wanawake wa siku hizi wavivu sana
mfano tu sugu leo nimeona anaojiwa cluos TV ikafika mahali akasema hicho chakula kapika mkewe ila kuna part mchukuwa video akachukuwa mikono kilichonishtua ni kuona mikono yote imepigwa rangi +kucha ni ndefu nikagundua chakula kapika mfanyakazi tu hicho .
hapo mwanaume akichepuka hakuna wakumlaumu
 
Ni unyanyasaji wa kijinsia kama wale familia nzima baba na shemeji yake yaani kaka wa mkewe, mwanaye wakiume na binamu yake,
embu ona huyo mtoto jamani piga pic ni mwanao kaenda kufanya kazi kwa watu ndiyo hayo yanamkuta
 
Kwa hili hapana aisehhhh
 
Ni sahihi yapo, unajua ili penzi liwepo vitu hivi ni lazima viwepo baina ya pande mbili "ujinga uwepo na umbali usiwe mkubwa !!!
 
Mnavyosingizia wake zenu wakati wengi wenu goi goi tu wake zenu wanawavumilia tu nakuwafichia aibu
 
Jibu ni kwamba wanawake wachoyo wapo na wanaume wasioridhisha wake zao wapo. Lakini havitokei kwa pamoja.

Ukitaka kujua idadi au asilimia angalia upande gani malalamiko ni mengi.
 
Angalia kauli zako, huu sasa ni ukatili angalia mdomo wako sana kijana usiongee kuwafurahisha wengine hii ni dhambi tayari na utaivune kama ulivyoipanda kinywani mwako
 
Wakinamama nao watuambie kuna nini kwa mahouseboy kuna siri gani ni bora tuangalie upande wa pili wa shilingi
 
Jibu ni kwamba wanawake wachoyo wapo na wanaume wasioridhisha wake zao wapo. Lakini havitokei kwa pamoja.

Ukitaka kujua idadi au asilimia angalia upande gani malalamiko ni mengi.
Wanawake wengi hawaridhishwi wame wavivu sana tena hizi namba 40 kushuka china shida tupu, kuna mkaka huyo born town walichukuana na binti mpaka kwao mwaka ukaisha mke hata haelewi huyu bwana vipeee maisha gani hata kama unapesa mie nilikufuata wewe naziacha mkaka alitaka kuchanganyikiwa binti kachoka kulalia pilo
 
Binafsi ukiniuliza sababu hii ndio sababu hasa, wanawake wanakera kwa uvivu wao wa kijinga. Unaomba gemu mizinguo kibao mara nimechoka mara vile ukimaindi sana anakupa ila unakua kama unagonga kinyago yani hamna ushirikiano kabisa.
 
Nimpendezeshe miye wakafaidi majirani hiyo ndiyo shida Siku ukitaka kuanza mletee zawadi mwambie mama asione endelea hivyo atakuomba mwenyewe
 
Mi nilimfyatulia jikoni wakati wife kalaza matako yke seblen anasubili ugali. Pumbavu cpendagi ujinga mm
 
Ila wewe
 
Yawezekana wapo, lkn mimi sio mmoja wa hao goi goi. Au unataka kujiridhisha?
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] nenda zako huko kwani mie nimekwambia nahitaji practical
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…