Wala usimshangae mwanamume, yawezekana mke wake ndo kasababisha kwa sababu ya uchoyo wake. Maana na ninyi wanawake siku hizi mmezidi mno uchoyo. Yaani unamnyima mumeo wa ndoa unategemea nini? Wakati wenye nazo wako wengi tu, tena wengine hawasumbui hata kidogo.Kama title inavyosema,
Wanaume wengi siku hizi mlio kwenye ndoa mnaongoza kwa kulala na wadada wenu wa kazi.
Sasa tunaomba kujua hawa wadada wa kazi wananini mpaka mnafikia hatua ya kuwakosea heshima wake zenu kwa kulala nao tena ndani?
Na mnapokutwa kwanini hamuombi msamaha yakaisha ila mnageuza kibao kwa dada wa kazi na kusema hafai mtafute mwingine?
Nimekereka kweli na jirani yangu leo, jamaa anaonekana mstaarabu baba mtaani lakini kumbe ovyo.
Leo kafumaniwa na mkewe anatembea na dada wa kazi, kazini katoka mapema kwa kisingizio kuwa anaumwa wakati mkewe hajamwambia kama anajisikia vibaya na anarudi nyumbani.
mfano tu sugu leo nimeona anaojiwa cluos TV ikafika mahali akasema hicho chakula kapika mkewe ila kuna part mchukuwa video akachukuwa mikono kilichonishtua ni kuona mikono yote imepigwa rangi +kucha ni ndefu nikagundua chakula kapika mfanyakazi tu hicho .Upo sawa hapo,tatizo wanawake wa siku hizi wavivu sana
Kwa hili hapana aisehhhhMwanaume hana dhambi ya uzinzi weye. Ndo maana tunaruhusiwa kuoa zaidi ya mwanamke mmoja, si katika uislam au ukristo. Mungu hajazuia mume kuoa wake wengi. So ikigundulika natafuna basi namwambia kuanzia leo ni mke mwenzako so itabidi akubali tu maana mm ndo nimeamua. Akiona ngumu kumeza basi amwachie beki tatu usukani
Mnavyosingizia wake zenu wakati wengi wenu goi goi tu wake zenu wanawavumilia tu nakuwafichia aibuWala usimshangae mwanamume, yawezekana mke wake ndo kasababisha kwa sababu ya uchoyo wake. Maana na ninyi wanawake siku hizi mmezidi mno uchoyo. Yaani unamnyima mumeo wa ndoa unategemea nini? Wakati wenye nazo wako wengi tu, tena wengine hawasumbui hata kidogo.
Jibu ni kwamba wanawake wachoyo wapo na wanaume wasioridhisha wake zao wapo. Lakini havitokei kwa pamoja.Kinachoshangaza me wanalalamika kuwa wake zao wanawanyima, wakati huo huo wanawake wanalalamika
waume zao ni goi goi sasa tumwamini nani? Utakuta mpaka mtu anachukua maamuzi magumu mme hajulikani
mwili wake unapata joto au ndiyo joto linaishia kwa beki 3?
Angalia kauli zako, huu sasa ni ukatili angalia mdomo wako sana kijana usiongee kuwafurahisha wengine hii ni dhambi tayari na utaivune kama ulivyoipanda kinywani mwakoNimemla beki tatu wangu zaidi ya miaka miwili hadi tumezoeana na wife ametumia njia zote za upelelezi lakini ameshindwa ila tatizo analo moja la wivu ana wivu balaa natamani hata wife afe ili nimuoe yeye kwa sababu sifa zote anazo hasa kwenye 6x6 huwa ninakakunja kanabaki kama tyre bajaji
Uchochezi huu!😀Mchane waifu siku moja kuhusu hiyo issue
Wanawake wengi hawaridhishwi wame wavivu sana tena hizi namba 40 kushuka china shida tupu, kuna mkaka huyo born town walichukuana na binti mpaka kwao mwaka ukaisha mke hata haelewi huyu bwana vipeee maisha gani hata kama unapesa mie nilikufuata wewe naziacha mkaka alitaka kuchanganyikiwa binti kachoka kulalia piloJibu ni kwamba wanawake wachoyo wapo na wanaume wasioridhisha wake zao wapo. Lakini havitokei kwa pamoja.
Ukitaka kujua idadi au asilimia angalia upande gani malalamiko ni mengi.
Binafsi ukiniuliza sababu hii ndio sababu hasa, wanawake wanakera kwa uvivu wao wa kijinga. Unaomba gemu mizinguo kibao mara nimechoka mara vile ukimaindi sana anakupa ila unakua kama unagonga kinyago yani hamna ushirikiano kabisa.Mfanyakazi wa ndani analishwa na kutunzwa na baba mwenye nyumba, pia wake nao wavivu wakati mwingine, ukiomba game utasikia eti nimechoka wakati ukienda kwa house girl unapewa mzigo wakati wowote na kwa style yeyote ile.
Point to note.
Hakuna house girl mgumba.
Aisee hii mbn hata mie inantokeaga masta, kumbe hawa wadude tabia zao huwa zinafananaga eeh!Mara usininyonye Kissimmee unanipaka mimate. Maliza haraka nilale. Usinishike Chuchu zinauma...kumbe kuna jitu lilikuwa linazinyonya mchana kutwa.
Yawezekana wapo, lkn mimi sio mmoja wa hao goi goi. Au unataka kujiridhisha?Mnavyosingizia wake zenu wakati wengi wenu goi goi tu wake zenu wanawavumilia tu nakuwafichia aibu
Mi nilimfyatulia jikoni wakati wife kalaza matako yke seblen anasubili ugali. Pumbavu cpendagi ujinga mmHawana masharti,wao wanaongozwa
hawaongozi,Maana unakuta mtu umemuoa
lakini unapangiwa masharti utadhani umeolewa wewe.
Jeshini,si jeshini,mgambo si mgambo.
ilimradi tu kuwepo tafrani. Mara usiniguse hapo
usinishike hivyo,nk.
Kwa beki tatu hakuna msalagambo wa namna hiyo
Wanawake badilikeni,wanaume sio watu wa maneno
ni watu wa matendo.
Tahadhari usimjaribu beki tatu utapotelea huko.
Ila weweMm nimekula beki tatu wangu miaka kama 3 hivi na si kukamatwa, and nlichogundua tu, ni kwamba baada ya kuanza kula beki3, upendo na mke wangu uliongezeka kwani nlimpenda zaidi, pia tukawa hatugombani mara kwa mara maana nlikuwa nawahi kurudi yaan nikitoka tu job narudi home. Maana nlikuwa napenda kuwa karibu na beki tatu wangu. Yaan nlikuwa nikimsikia anacheka, ama anaongea najiskia raha sana. Beki tatu hasumbui ukitaka mzigo yaan anytime, anywhere, in short unapewa hata mara tatu kwa siku. Njia kuu usumbufu mtupu. Kaondoka beki3 wangu saiz kurudi hom mpaka giza liingie
Na cha kushangaza wife na beki3 walikuwa marafiki kinyama yaan wanapendana balaa
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] nenda zako huko kwani mie nimekwambia nahitaji practicalYawezekana wapo, lkn mimi sio mmoja wa hao goi goi. Au unataka kujiridhisha?