Wanaume mliolala na wadada wa kazi zenu mtujibu ili tuelewe

Wanaume mliolala na wadada wa kazi zenu mtujibu ili tuelewe

Maendeleo watawaza saangapi na mwanamke akimpata wakumsikiliza wanazaa watoto baba tofauti yeye anakenua tu mimeno isiyo pigwa hata mswaki vizuri
Hawa viumbe ndo huvuruga familia.ka kichwa cha nyumba wewe ufikirie dume linawaza ngono tu kuliko familia mi ka mke kwanini nihangaike naye wakati wanaume wa nje wanipenda nakunirahishia mambo yangu, huyo anayeniheshimu na mzalia hata kumbinukia kabisa walah yeye aendelee nakuchepuka loh
 
Na akili hii ndio imefanya ndoa nyingi ziende ICU yani. Ndoa ni swala la furaha aisee. Inapotokea mmoja wenu anaona kama anamfanyia favours mwenzake (selfishness) mitihani huanzia hapo. I think ile dhana ya committment ama kujitoa haipo tena katika ndoa za sikuhizi bali ni mashindano.

Nani mwenye wadhifa amkomoe mwenzake ndio style ya ndoa zetu za kileo. Hamna ile kuchukuliana kwa upendo kuwa mume wangu ananihitaji sahivi nijitahidi nimhudumie tu ata kimoja alale japo nimechoka. Sio kutoa jibu jepesi tu sa kama nimechoka nifanyeje na kumpa mgongo.
Nawe ukiona mke hayuop kaanaye muulize tatizo nini lakini muda wakukaa na mke hakuna muda wote kazi na michepuko mke naye afanye nini wakati naye anamoyo wa nyama na hisia anazo ukiona mke naye anacheat tambua kavumilia kiwango cha lami
 
Hawa viumbe ni watamu duuh. Nakumbuka kuna beki tatu aliletwa hom ikawa mama anamfokea sana. Mi nilikuwa karibu nae sana. Alikuwa na machozi ya karibu akifokewa tuu analia hadi kushindwa kula. Nilichukua jukumu la kumliwaza kila akiwa na huzuni na yeye akawa karibu na mimi siku akiwa anafua ananiambia kama nna nguo chafu nimpe anifulie. Aloooo siku narudi kutoka chuo nakuta kakaa anaangalia tv kavaa kanga tuu, pale ameona na mimi jicho dk moja kwa tv dk 3 kwake si akajipindua. Nilimnyoosha vilivyo na mpaka sasa sijawahi kula mbunye tamu kama ile. Sahv naambiwa alishaolewa ana mtoto mmoja
 
Sasa cariha mie nshakwambia kwamba nikihitaji naomba kusiwe na excuses hali hii inaniboa unatoa gemu week moja ikiisha umeshasahau unaanza tena vikwazo ssa huko kurekebishana itakuwa hadi lini?

Mume kuchepuka sio kama anapenda yani ila mazingira ndio yanaforce. Mwanaume nimeona michirizi ya utamu ukiwa ndani ya kanga nishatamani tayari nimetaka huduma unakuta mtu anakukatili. Oh, si usubiri mpaka usiku bhana ntakupa we huoni ndio naenda kazini sahivi.
Sasa hapo siunaanza kumpeti peti mbali hafu ujue mama akiwa na mtoto huchoka nakumsaidia kunahtaji sasa nyie huwa hamjali mi mwanaume akiniheshimu na mweshimu ila akijifanya anaendekeza ngono kwa kuchepuka ndo ameharibu maana actions zangu zaweza kumvuruga kabisa mana nitakuwa cjali,
 
Nini % zote hata zero simuamini mtu anaitwa mwanaume analala na papuch usiku Kucha anaamka anazua safari kumbe anaenda hoteli kugegeda papuch tena looh naanzaje kumuamini mwanaume
Yaani akirudi salama unasema asante Mungu mengine mmmm tabu tupu na ujinga tu
 
Sasa mambo ya kuanza kuandaana na jitu vivu ya kazi gani. Wacha mie nikojoe nilale tu!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sababu ipo muulize kunani my wife wangu mrembo utaambiwa shida iko wapi
 
Wanawake ni wepesi sana kusamehe hata ukimuudhi sahizi lakini akibembezwa na mzigo akapewa vizuri yanaisha lakini ubabe wa me kuna wengine mpaka wananunia wake zao hao ndiyi wanume wa kizazi hiki
Shida ni kuwa sio KE wote, mwanamke mwenye akili za kuchepuka ili amkomoe mumewe hata ukimuomba msamaha ni kazi bure kwanza wengi ni watu wamashindano. Atataka akukalie kichwani kitu ambacho mwanamume ataishia kuku ignore kama sio kukupiga makofi!
 
Wanawake hua mna classses, yani akili ya mwanamke ina classes, akishakua na level flani hivi ya maisha basi hujiweka kwenye hiyo level.

Inapokuja swala la mwanamke, mwanaume hana class, awe beki tatu, awe waziri au rais wote ni wanawake, kinachowafanya kua hvyo sio vyeo vyenu bali ni kyuma.

Mwanaume hana class kwenye kyuma, kyuma zote ziko sawa. Ndio maana anaweza kua na mwanamke mzuri na mwenye hadhi kubwa ila akatafuna beki tatu ambae hana mbele wala nyuma.

Mshedede ukiamka hua hauangalii hii kyuma ni ya nani, iwe ya beki tatu au yoyote kikubwa iwe kyuma tu.

Nachojua beki tatu wengi bado wanakua wabichi, bado wana ladha fresh, bado misuli yao ya uke iko tight na mnato.

Sababu kubwa nyingone ni mahubiri ya Nabii wa Mwisho na Nabii wa kweli Nabii Tito.
Naomna kama unakaribia kwenye ukweli!
 
Kabisa yani Hawa wanaume wanatuonaga wanawake mazwazwaaa eti hatujui na kweli mtu anajisifia kuwa anachepuka na beki tatu 3 years alafu mke hajui looh kalagha bao wanawake tuna IQ kubwa kwenye kufikiria haya mambo na wala huwa hatuhitaji msaada wa technology cjui mobile tracker kama wanaume walivyo
Mwanaume akianza kuchepuka you will notice tu maana sisi ka walezi tunajua anaanza kujishtukia na tukishajua mapenzi yanakufa automatic na vile sisi huwa hatusemagi ka wanaume sasa ukikutana na danga linalojali wala hujisumbua mana kashakutoa ugwsndu wako na vile sisi tuki date na watofauti na mume huwa tunakusahau wewe wa ndoa nakujali kunaisha, sasa wenzetu wao ni kutangaza tu
 
Tatizo wao wanajifikiria wao tu haja za mwili kuliko wenzi wao matokeo yao mambo yanashindikana licha ya kuchepuka wao ndo huwa wahanga wakubwa kuliko wake zao.
Mke yupo nyumbani akirudi yupo busy na kazi zake badala akae na mke yupo laptop zake kuchat tu hata muda wakukaa na mkewe waongee mke apate joto la mme anawaza tu kesho achepukie wapi mke naye anahisia mwili unakufa ganzi
 
Wewe unaona response zero maana hujui una muandaaje tena ukute una mubaka yeye ana muwaza mchepuko wake anaye mkojoza, hafu wanaume niwapeni siri ili mwanamke akuheshimu nakukupenda mkojoze sio kuchomeka na gumu. Sasa ukiona hivo naye anakipoozeo kinachomfikisha kileleni wewe endelea na beki Tatu
Hio kuchomeka chomeka inatokana na response ya mwanamke wako. Kama hatoi ushirikiano utavumilia na utamsema kwa muda ila later utachoka. Mwanamke ajishiki yani yupo tu dah. Unaamua ukujoe ulale tu *****.
 
Hawa viumbe sio wakuwaamini kabisa ni bora kuishi nao kimachale chale tu yeye ahangaika na mchepuko na wewe wajiandaa na yako siku ukimshtukia analazwa ICU
Ndiyo yale mke kajenga nyumba si ajabu alikuwa anahangaika na kuhonga huko mke anaakili sana kujenga na kuishi humohumo yeye kutembeza bakora lake tu kama kifimbo cheza stress juu
 
Mm nimekula beki tatu wangu miaka kama 3 hivi na si kukamatwa, and nlichogundua tu, ni kwamba baada ya kuanza kula beki3, upendo na mke wangu uliongezeka kwani nlimpenda zaidi, pia tukawa hatugombani mara kwa mara maana nlikuwa nawahi kurudi yaan nikitoka tu job narudi home. Maana nlikuwa napenda kuwa karibu na beki tatu wangu. Yaan nlikuwa nikimsikia anacheka, ama anaongea najiskia raha sana. Beki tatu hasumbui ukitaka mzigo yaan anytime, anywhere, in short unapewa hata mara tatu kwa siku. Njia kuu usumbufu mtupu. Kaondoka beki3 wangu saiz kurudi hom mpaka giza liingie
Na cha kushangaza wife na beki3 walikuwa marafiki kinyama yaan wanapendana balaa
Duuuuuuuhhhhhh,noma sana!
 
Mke yupo nyumbani akirudi yupo busy na kazi zake badala akae na mke yupo laptop zake kuchat tu hata muda wakukaa na mkewe waongee mke apate joto la mme anawaza tu kesho achepukie wapi mke naye anahisia mwili unakufa ganzi
Halafu wasivo na akili ana mlaumu mkewe aliye mzalia watoto, kulea tu ni kazi yeye anahangaika na Malaya hafu anajiona mjanja, dawa ya hawa viumbe ni kutafta kipoozeo tu nakumuonyeshea actions
 
Hawa viumbe ndo huvuruga familia.ka kichwa cha nyumba wewe ufikirie dume linawaza ngono tu kuliko familia mi ka mke kwanini nihangaike naye wakati wanaume wa nje wanipenda nakunirahishia mambo yangu, huyo anayeniheshimu na mzalia hata kumbinukia kabisa walah yeye aendelee nakuchepuka loh
Hasira hasara
 
Back
Top Bottom