Wanaume mliolala na wadada wa kazi zenu mtujibu ili tuelewe

Wanaume mliolala na wadada wa kazi zenu mtujibu ili tuelewe

Akili za kudanga ni za wanawake waliojikatia tamaa na maisha. Huwezi kuwa mke mwenye kujiheshimu ukaacha kuogopwa na mumeo kabisa. Umemkamata mume vizuri anaanzaje kuchepuka yani!
Solve matatizo na mumeo acha kukimbilia kudanga.
Lazima kudanga kwa manufaa na wanaume wenye hadhi ili mambo yaende kusema kuhangaika na mume eti kumpendezesha asichepuke huko nikujichosha bora kutafta tu hela by any means
 
Yani nijifunze kwa kuota huo mda sina tena maana hujataka kuniambia solution yako ukakimbulia kuchepuka [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] sasa na Mimi kuna danga langu linanibembeleza nakunipa mafezwa pia kunirahishia mambo si bora nimtunuku tu yote kabisa
Aisee kweli mumeo anayo kazi hadi sasa najua ushamsaliti kwa zaidi ya mara moja na madanga. Nyie wanawake mkumbuke mama zetu walikuwa wavumilivu sana na kuepusha matatizo kama hayo walijicommitt 100% kwa baba zetu.

At times nadhani uvumilivu ndio hasa factor kubwa inayopeleka ndoa nyingi kuingia matatizoni. Kwahio jamaa akikugundua akakuacha utaolewa na danga sio!?
 
Kucheat ni tabia kama tabia tu wanajiliwa sana na wake zao lakini hawaliziki
Yawezekana wapo wanawake wachache wanaowajali waume zao, mwanamume wa namna hiyo akichepuka sio fair kwa kweli. Lkn kundi kubwa la wanawake hawajali, ndo maana siku hizi michepuko ndo habari ya mjini.
 
Jibu:
Papuchi za wadada wa kazi ni changa, soft na safi ilhali papuchi za wamama wenye nyumba wengi zinakuwa hazina adabu kiusafi na kiubora. Ndio maana wababa wengi huishiwa uzalendo na kuamua kugegeda akina dada wa kazi.

Suluhisho/angalizo:
Wamama wenye nyumba msipobadili mienendo yenu na kujiweka safi & sexy, beki 3 wataendelea kuchukua nafasi zenu mpaka mlie machozi ya damu!
Na sisi tutakuwa tunawazalia wana wanaume wengine mlee vzuri wakikua twamaga hadharani
 
Akili za kudanga ni za wanawake waliojikatia tamaa na maisha. Huwezi kuwa mke mwenye kujiheshimu ukaacha kuogopwa na mumeo kabisa. Umemkamata mume vizuri anaanzaje kuchepuka yani!
Solve matatizo na mumeo acha kukimbilia kudanga.
Hapo ni kukimbiza mwizi kimya kimya wake hawanaga kelele maana akili za me tunazijua
 
Ndo na mwanamke usipokuwa na akili unaweza angamiza familia huna unachofanya ndo mana siku hizi hzi tabia zinafanya wanawake wafanye mambo yao kisiri siri kwa ajili ya watoto hata miradi acjue maana ukiendekeza watoto.hawaezi kuwa na future mama usiposimama, kuna mama mumewe alikuwa tajiri lakini michepuko ikafanya maendekeo yao yakawa duni mama naye wakawa wanashindana na michepuko kwa waganga mwishowe mwanaume akafa familia haina mbele wala nyuma, basi huyo mama huwa ananihusia ni fight tu vyovyote kwa ajili ya watoto, hafu huyo mume alivougua mchepuko ukamkimbia mke mkubwa ndo akamuuguza huku akiwa anajiharishia tu. Mi mwanaume anayeendekeza starehe bila kuweka familia mbele ni waku muignore tu aisee.
Lini michepuko ikamtunza mme wa mtu wao wanatafuta maslahi basi sasa hawa wenye vichwa 2 akili zinagawanyikaga kabisa zinashindwa kutulia kabisa mwishowe ndiyo huo
 
Sahizi ndiyo nikushauri kabal hujaanza kwanini usinge ongea na mke kwanza endeleeni tu kuchepuka mkizani wake ni wajinga kiasi hicho mngejua wanawake wana akili kuwazidi msingekuwa mnafanya upuuzi huo ni basi tu tunawaheshimu tu
Mke unakuwa ushaongea nae kuhusu viwango vyake mchezoni kupungua. Anaahidi kujirekebisha ila at last unakuta kuwa hajirekebishi. Sasa mwanaume kulalamika jambo hilo hilo kila uchao manaake ndio nini. Unaamua kupotezea
 
Sidhani kama unaweza muheshimu mume kwa akili hii. We utakuwa wale wanawake ambae una mume ila uridhiki una madanga pembeni. You can not be free while having multiple relationships aisee.

Na hii ndio inakupa kiburi kua kukitokea mis understanding yeyote unakimbilia kuchepuka nje tu ili umkomoe mume.
Sasa wewe mwanaume usipojiheshimu unataka Nani akuheshimu wewe uko na beki Tatu acha na Mimi nikatafte wakuni ridhisha huko nje ngoma iwe droo mana wataka mnato nami acha nikatafte ya punda. Mwanaume mwenye ubusy wakusaka hela hata ngono huwa hawazi, na akiniudhi tu naenda kujipooza kwa danga langu tena ukute lanipa hela eeeeh[emoji2] [emoji2] [emoji2] Mungu anipe nini na kuwa nasali uhamie kwa mchepuko kabisa ili niwe huru
 
Jibu:
Papuchi za wadada wa kazi ni changa, soft na safi ilhali papuchi za wamama wenye nyumba wengi zinakuwa hazina adabu kiusafi na kiubora. Ndio maana wababa wengi huishiwa uzalendo na kuamua kugegeda akina dada wa kazi.

Suluhisho/angalizo:
Wamama wenye nyumba msipobadili mienendo yenu na kujiweka safi & sexy, beki 3 wataendelea kuchukua nafasi zenu mpaka mlie machozi ya damu!
Hao ndiyo wamekuwa wasafi kuzidi wake zenu hizi si ndiyo zarau baada ya kullala na beki 3
 
Huwa inafika wakati natamani labda nisingesoma maana upeo wangu ni mkubwa hakuna sehemu Mr akacheat nisijue hadi najichukia maana stress zingine za hovyo tu
Pole sana isije kua umejikaririsha baadh ya vijitabia ukavipa kipao mbele.
Hata hivyo kwa vile una upeo mkubwa utakusaidia kutatunza ndoa yako vyema
 
Hahahhaaa stress na pressure zinawamaliza mapema mke unamuacha na marafiki zako
Sio tu stress imagine awe na michepuko mitano yetu airidhishe, atafte hela kwa shida yote iwe INA mpa mawazo,ulaji mubovu bado hao michepuko hawajampa malibwata ya kwenye papuchi kwanini asife mapema aache papuchi ya mkewe ikiliwa na wajanja
 
Yani ujue had MTU kuzini huwa ameamua kabisa moyoni kwa kuendekeza tamaa sasa Mimi nikwambie madhara wewe hujui au ndo wale wanaume wanaojipa haki, ni bora uendelee naye tena mi ka mke nikijua watembea na beki Tatu nitafurahi nakumpandisha hadhi tuwe tunalala wote watatu kitandani mana mke mwenza, mie hapo papuchi naiweka reserve kwa MTU mwingine anayenisaidia mawazo na akili.
Sasa kwa shida ya papuchi yako ya masimango na ratiba mume anatakiwa avumilie tu au sio? Kwa maana haridhiki vile anavyotaka inabidi umpe kwa uhuru zaidi kasha complain sana. Ila at lasta anatakiwa atulie afate masharti yako tu si ndio?
 
Nimekumbuka alikuja beki tatu kisu haswa, wife akamalizana nae nje akampa nauli arudi, hakutaka hata nimuone mimi nilikua ndani kumbe nipo dirishani natazama picha..
Wife Aliporudi ndani akaanza kunipa sababu za uongo ikabidi nimkubalie huku moyoni nacheka
Kweli kabisa mkuu, akina mama wana mambo ya ajabu sana. Halafu beki 3 akiwa above 18 na akawa beutiful kuliko mama, hurudishwa kwao mara moja au mama humkwaza kwa makusudi mpaka kujikuta anaondoka hata mwezi haujaisha. Ukiona hivyo ujue mama hajiamini kabisa. Afu ujue akina mama wana wivu hadi kwa watoto wao wa kike. Hawa watu ni viumbe wa ajabu sana I see! Ndio maana mtu mwenye wivu wa ajabu ajabu huambiwa 'ana wivu wa kike'.
 
Nimekumbuka alikuja beki tatu kisu haswa, wife akamalizana nae nje akampa nauli arudi, hakutaka hata nimuone mimi nilikua ndani kumbe nipo dirishani natazama picha..
Wife Aliporudi ndani akaanza kunipa sababu za uongo ikabidi nimkubalie huku moyoni nacheka
Du mama kakuwahi juu kwa juu mkuu? Inauma sana.
 
Back
Top Bottom