Wanaume mna moto wa peke yenu. Siamini!

Duuuh pole mdada
 
A question asked you huyo ndio wa kwanza kukufunua kama jibu no basi tegemea kufunuliwa more again and again kwani tokea uliporuhusu huyo alieondoa mlango ndio kosa lilipotokea usilaumu ulipoangukia. Ww ni somo jwa watoto wako
 
Pole tulia kwa Mungu atakupa kilicho bora
 
Alifanikiwa kula mzigo ?
 
Hahahaha
 
Kuna namna fulani mwanamke akiona anapendwa analeta jeuri na kujishaua. Kama umezingua unataka uvumiliwe? Kwanza wanaume tuko wengi duniani acha tuchague kitu roho inapenda
 
ONCE A SOLDIER ALWAYS A SOLDIER!!!

πŸ“ŒπŸ“ŒSince you fought many wars,as a veteran and currently a contracted mercenary you dont have any right to complain to anything.You reap what you sow!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…