Wanaume mna shida sana

Hahahahahahaa. Jana nimekunywa Moet na Heineken mdogo wangu. Mjini vinywaji hivyo vinauzwa wapi?
Sasa mbona ulichoandika hakieleweki?
Njoo hukuu Vingunguti nikupeleke tunywe cocktail za kibabe!
Ina ponya hadi kansa hiyo
 
Kumbe tatizo ni kutokua na hela ya kulipa bili tu? yaani akitokea mwenye huo uwezo wa kulipa bili au kua na hela anajichukulia mzigo kiulaini tu Eeeh!?
 
Mzigua naomba mie uniletee invoice ya supu asubuhi hii ,hapa kijiweni kwangu,nikulipie
 
Kumbe tatizo ni kutokua na hela ya kulipa bili tu? yaani akitokea mwenye huo uwezo wa kulipa bili au kua na hela anajichukulia mzigo kiulaini tu Eeeh!?
Hapana. Yeye hanijui ndo maana akaniona kama akinientertain atanibeba. Niliwe kisa bill? Ila kidogo mwanaume anaelipa bill unakua na uhakika hata anaweza kukusaidia siku ukikwama mkianza kuhusiana
 
Nafikiria ugomvi utakao ibuka kugombania kitombeo/tango langu[emoji123][emoji123][emoji123]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…