Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hii ndio naijua leoHapana. Yeye hanijui ndo maana akaniona kama akinientertain atanibeba. Niliwe kisa bill? Ila kidogo mwanaume anaelipa bill unakua na uhakika hata anaweza kukusaidia siku ukikwama mkianza kuhusiana
Sasa ndio umekataa nini na umekubali nini?! soma comment yako tena uielewe,Hapana. Yeye hanijui ndo maana akaniona kama akinientertain atanibeba. Niliwe kisa bill? Ila kidogo mwanaume anaelipa bill unakua na uhakika hata anaweza kukusaidia siku ukikwama mkianza kuhusiana
MmmhHahahahahaa. Nilikwambia sikimbii watu
Hawezi kubeba mzigo pale pale. Tutazoeana japo siku mbili tatu. Na nina wanaume hata waweje sitembei nae yeye ni mmoja wapo. Kwahiyo nilishangaa tu baba zima na kitambi hana hela ya kununua absolute vodkaSasa ndio umekataa nini na umekubali nini?! soma comment yako tena uielewe,
Ukweli unabaki palepale tu kua akitokea mwenye pesa anabebe mzigo kiulaini tu kwa mujibu wa maelezo yako.
Mkuu we MTU mzima ,ushaelewa ,kaushaSasa ndio umekataa nini na umekubali nini?! soma comment yako tena uielewe,
Ukweli unabaki palepale tu kua akitokea mwenye pesa anabebe mzigo kiulaini tu kwa mujibu wa maelezo yako.
Hahahaha! mkuu nilielewa toka mwanzo kua hili ni tangazo ila nilitaka tu kuupima uelewa wa mleta tangazo,hili tangazo inabidi lilipiwe tu!Mkuu we MTU mzima ,ushaelewa ,kausha
HahahaHahahaha! mkuu nilielewa toka mwanzo kua hili ni tangazo ila nilitaka tu kuupima uelewa wa mleta tangazo,hili tangazo inabidi lilipiwe tu!
Ahahahahaa! nilijua tu ungejitega wewe mwenyewe,Hawezi kubeba mzigo pale pale Tutazoeana japo siku mbili tatu. Na nina wanaume hata waweje sitembei nae yeye ni mmoja wapo. Kwahiyo nilishangaa tu baba zima na kitambi hana hela ya kununua absolute vodka
Eeh,hii bahati ya japo kuzoeana ,wengine imetupita piaHawezi kubeba mzigo pale pale. Tutazoeana japo siku mbili tatu. Na nina wanaume hata waweje sitembei nae yeye ni mmoja wapo. Kwahiyo nilishangaa tu baba zima na kitambi hana hela ya kununua absolute vodka