Wanaume mna shida sana

Wanaume mna shida sana

Sipotezagi muda na watu km ninyi huwa moja kwa moja geto kuzuia kashfa km hizi.
 
Si umwambie tu huyo mlengwa moja kwa moja, wengine tunajitambua nafasi zetu na hatupendi kufananishwa na wasio jielewa
Hehehehe. Umefananishwaje sasa hapo mkuu
 
Umekoma .. Sa nane usiku upo macho kidume kalewa kalala.. Muwege mnatuletea hizo papuchi tuziparureee hadi majogoo.
Wala sijakoma. Maana ni mtu tu nilimkuta mezani akanishobokea. Sikumfuata yeye ila kulikua na kiti karibu yake akajua na mimi ndo kama wale wanawake wanaitwaga wanagawana
 
Huyu baba hapa amelala anatoa ndoto zote ila akilini kwake anajua tunaondoka wote. Tatizo ana ushamba mie sinao maana amezoea wanawake wanaokaa nao wanakuja kuwadanga. Sasa mtu mwenyewe hata hela ya kulipa bill hana halafu anashoboka na mimi.
Wanaume tafuteni hela mtumie msitie aibu wakati wa kulipa Bill.
Hahaha siamini km huu uzi ni wako [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] hivi kweli ni ww au umemwandikia mtu?
 
Kumbe shida ni kuwa tu hajafika price tag yako!!?
Ungeachana na hayo ya kumwita mshamba!!! Sema tu anashoboka hana hela na wewe upo kwenye business
Helloooo. Mbona hamuelewi. Simjui ndo kwanza nilimkuta mezani. Anyways mtakavyowaza mtajua wenyewe
 
Back
Top Bottom