Wanaume mna shida sana

sibiri akuwekee ugolo kwenye ulabu ..ndio utajuwa kuwa unaliwa au hauliwi... he he hehe
Tulikua wengi na karibia wote ni kaka zangu angepata wapi hizo nguvu za kujitia ana genye sana?
 
Tulikua wengi na karibia wote ni kaka zangu angepata wapi hizo nguvu za kujitia ana genye sana?
hahaa sasa hauku sema kuwa mlikuwa mobb...hapo sawa ""hapo ataishia kuchukua namba za Simu tu"" na kwenda kukupigia nyeto tu home kwake
 
Wadada wanywaji bwana, hadi saa ngapi usiku upo nje ya nyumba yako? It's very easy to be lured by predators.

Ndio maana ujanani sikuweza kudate nao.
 
Aiseeeh

Nmebak mdomo waz[emoji46]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…