Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,550
- 1,165
- Thread starter
-
- #61
Itabidi ujitahidi kumpa soma rafiki yako, mwambie kuna jirani yenu wakiume alioa mwanamke kutoka msumbiji, na huyo mwanamke akawa anamuamini sana mme wake...kumbe mme wake anapenda rafiki yake huyo mwanamke...Afu unamwambia wanaume hawaminiki lazima awe na yeye careful na mme wake asimuamini sana mwanaume!
Ujumbe utafika kiaina aina, umenipata.
tunauhakika gani hukulala nae? halafu wewe unaweza kufunga safari kutoka mbali uende kwenye harusi usiyowajua maharusi? wewe jamaa alikumega halafu ulikuwa unampelekea mzigo hata heading yako inaonyesha una wivu maana drinks ulizokuwa unapewa hamna tena. kana alikutekenya maana yake HILO NI DUME LA SHOKA
Usimsaliti rafiki yako..kaa mbali na huyo shemeji mshenzy, potea namba yake, usipokee wala kujibu simu/text..!
hehehe na wewe imekuita?
Achana nae huyo hana maana . Ni pm namba yako nikwambie maneno ya busara mtoto mzuri .
Tena kwa kishindo.
mhhh wee babu fataki wewee
nataka nikuamishe mwanza darling . Utoke kwenye hayo mawe nikulete paradiso mpnz . Hakika utajuta.
Na bado unamficha rafiki yako? Lazima una yako wewe. Mie nilikuwa nasubiri PM yako kumbe una mengine tokea 2007? Nakupotezea.ameshanipgia simu kama mara 3 sijapokea sitaki hata kumsikia,basi huyo rafiki akinipgia cm anasema y anakusalimia huwa natetemeka sana kwa hasira,
EMT, mambo niaje jombaa?
trust me bro,he's never got that chance.n never will he
Kabla sijachangia naomba unijibu, baada ya ndoa yake kaendelea kufukuzia huyo sungura?
Na bado unamficha rafiki yako? Lazima una yako wewe. Mie nilikuwa nasubiri PM yako kumbe una mengine tokea 2007? Nakupotezea.
Hivi unajua wanawake tulivyo?na ndoa yenyewe ina miezi 2 tu!ni ngumu kuanza kumwambia.
Kuhusu PM nimepata ya kwako nakujibu sasa hivi,
et "trust me"..khaaa.. Who r u to be trusted... Mabint nyie wa kisasa.. Never.. By the way tuaminije kama hujamegwa..! Nenda hukooo
next time kuwa firm,ukisema NO maanisha ni NO,ukisema no afu ukakubali kutoka na huyo mtu unampa mtu fursa ya kuendelea kukushawishi na kukutumia na anaweza hata kukubaka once umelewa,so kwangu mie kumkatalia mtu ni kutompa false hopes kwamba 'unamfikiria'.....NO drinks No outing.....not in my mind at all....
Maskini huyo rafikiyo kajua kapata mme kumbe kicheche,lah iko kazi mambo ya mahusiano yana kazi sana